Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana na Walemavu Mhe. Jennista Mhagama akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa TA...
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana
na Walemavu Mhe. Jennista Mhagama akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF, Ladislaus Mwamanga Cheti cha Ushindi wa Kwanza katika ya Mifuko ya
Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi nchini.
Baadhi ya wafanyakazi wa TASAF wakifurahia ushindi wa kwanza
ambao Mfuko huo umepata kwa mwaka 2017 kati ya mifuko 19 inayoshughulikia
uwezeshaji wananchi kiuchumi.
COMMENTS