Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii ( SSRA), Irene Isaka (katikati), akiwa katika d...
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka (katikati), akiwa katika dawati la mapokezi
akimuhudumia mteja kwa sura ya furaha katika maadhimisho ya Wiki ya
Utumishi wa Umma jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa SSRA, Irene Isaka (wa pili kulia), akimsikiliza mteja kwa makini.
Wafanyakazi wa SSRA wakiwahudumia wageni kwa sura ya bashasha.
Mkurugenzi
wa Tafiti, Tathimini na Sera akifafanunua baadhi ya mambo wakati wa
semina ya hifadhi ya Jamii kwa maafisa Habari na mawasiliano
serikalini.
Mkurugenzi
wa Uhusiano na Uhamasishaji wa SSRA, Sarah Kibonde, akiwasilisha
mada kuhusu hali ya hifadhi ya jamii nchini wakati semina kwa maafisa
Habari na mawasiliano serikalini.
Maafisa
Habari na mawasiliano serikalini wakiwa katika picha ya pamoja na
viongozi wa SSRA baada semina ya hifadhi ya Jamii iliyoandaliwa na SSRA
kama sehemu ya maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma.
Mkuu
wa kitengo cha Elimu kwa umma na mawasiliano toka Mamlaka ya Elimu
Tanzania Bi. Silvia Lupembe akitoa neno la shukrani wakati wa semina ya
hifadhi ya Jamii iliyoandaliwa na SSRA.
Mkurugenzi
wa Manunuzi na Ugavi, Emmanuel Urembo akiwa kwenye dawati la
mapokezi akimuhudumia mgeni aliefika kwenye ofisi za SSRA maeneo ya
Kinondoni Moroco.
Mkurugenzi
Mkuu wa SSRA, Irene Isaka akiwa na Wafanyakazi wa Mamlaka hiyo
kwenye moja ya vikao vilivyoandaliwa katika wiki ya utumishi wa umma
lengo likiwa ni kusikiliza na kutatua changamoto zao.
Baadhi
ya Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini wakifuatilia semina ya
hifadhi ya jamii iliyoandaliwa na SSRA kama sehemu ya maadhimisho ya
wiki ya utumishi wa umma 2017.
COMMENTS