Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu na Mwanzilishi wa Taasisi ya UTSS (Under the Same S...
Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia)akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu
na Mwanzilishi wa Taasisi ya UTSS (Under the Same Sun) Ndg. Peter Ash
(kushoto) pale ugeni kutoka Taasisi ya UTSS (Under the Same Sun)
ulipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu
na Mwanzilishi wa Taasisi ya UTSS (Under the Same Sun) Ndg. Peter Ash
(kushoto) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu na
Mwanzilishi wa Taasisi ya UTSS (Under the Same Sun) Ndg. Peter Ash
(katikati) pale ugeni kutoka Taasisi ya UTSS (Under the Same Sun)
ulipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma. kushoto ni Mkurugenzi
Mtendaji wa Taasisi ya UTSS (Under the Same Sun) Ndg. Vicky Ntetema
Spika
wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (katikati)akiwa katika picha ya pamoja
na ugeni kutoka Taasisi ya UTSS (Under the same Sun) ulioongozwa na
Mkurugenzi Mkuu na Mwanzilishi wa Taasisi hiyo Ndg. Peter Ash (wa tatu
kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Ndg. Vicky Ntetema (wa tatu
kulia) baada ya kikao kilichofanyika leo Ofisini kwake Mjini Dodoma.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
COMMENTS