Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai (kushoto) akisisitiza jambo mbele ya kamati ya kudumu ya Bunge y...
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job
Ndugai (kushoto) akisisitiza jambo mbele ya kamati ya kudumu ya Bunge ya
Utawala na Serikali za Mitaa kutoka Bunge la Msumbiji uliomtembelea
Ofisini kwake Mjini Dodoma Juni 20 2017. Katikati ni Kiongozi wa Msafara na
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa
kutoka Bunge la Msumbiji, Mhe. Lucas Jeremias na kulia ni Mjumbe wa
kamati hiyo Mhe. Beatriz Chagula.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job
Ndugai (kushoto) akimsikiliza Kiongozi wa Msafara na Mwenyekiti wa
kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kutoka Bunge
la Msumbiji, Mhe. Lucas Jeremias (katikati) pale ugeni kutoka kamati ya
kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kutoka Bunge la Msumbiji
ulipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini Dodoma, kulia ni Mjumbe wa
kamati hiyo Mhe. Beatriz Chaguala.
Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job
Ndugai (kushoto) akizungumza mbele ya kamati ya kudumu ya Bunge ya
Utawala na Serikali za Mitaa kutoka Bunge la Msumbiji ulipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma, wa pili kushoto ni Kiongozi wa Msafara na
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa
kutoka Bunge la Msumbiji, Mhe. Lucas Jeremias
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
COMMENTS