Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa tatu kulia) akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ibwaga iliyopo Wilayani Kongwa, ...
Spika
wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa tatu kulia) akizungumza na wanafunzi wa
Shule ya Sekondari Ibwaga iliyopo Wilayani Kongwa, Dodoma baada ya
kugawa vitabu shuleni hapo, vitabu hivyo vimetolewa na Mtandao wa
kuondoa Umasikini. Kulia kwa Spika ni Mweyekiti wa Mtandao huo Ndg.
Mungwe Athuman na kushoto kwake ni Meneja wa Mtandao huo Ndg. Peter
Yobwa. Zoezi la ugwaji wa vitabu hivyo lilianza toka wiki iliyopita
ambapo takribani shule thelathini za Sekondari zilizopo Wilaya ya Kogwa,
Dodoma zimenufaika na msaada huo.
Spika
wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa pili kushoto) akizungumza na Wazazi wa
Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Sekondari Laikala iliyopo Wilayani
Kongwa, Dodoma wakati wa zoezi la kugawa Vitabu shuleni hapo
vilivyotolewa na Mtandao Kuondoa Umasikini, kushoto ni Meneja wa
Mtandao huo Ndg. Peter Yobwa.
Spika
wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa pili kushoto) akizungumza na Wazazi wa
Wanafunzi wanaosoma katika Shule ya Sekondari Laikala iliyopo Wilayani
Kongwa, Dodoma wakati wa zoezi la kugawa Vitabu shuleni hapo
vilivyotolewa na Mtandao Kuondoa Umasikini, kushoto ni Meneja wa
Mtandao huo Ndg. Peter Yobwa.
Spika
wa Bunge, Mhe. Job Ndugai, pamoja na Mwenyekiti wa Mtandao wa Kuondoa
Umasikini Ndg. Mungwe Athuman (kulia) wakimkabidhi kitabu Kaimu Mkuu wa
Shule ya Sekondari Manghweta Ndg. Elinetha Kimaro (kushoto) wakati
wakigawa vitabu Mbali mbali kwa Shule za Sekondari zilizopo Wilayani
Kongwa Mkoani Dodoma.
Spika
wa Bunge Mhe Job Ndugai (wa pili kulia) pamoja na Mwenyekiti wa Mtandao
wa Kuondoa Umasikini Ndg. Mungwe Athumani (kulia) wakikabidhi vitabu
kwa Mwl. Mkuu wa Shule ya sekondari Iduo Ndg. Cathbert Kalindo, Shule
iliyopo Wilaya ni Kongwa Mkoani Dodoma.
COMMENTS