SHEREHE ZA UFUNGAJI WA MASHINDANO YA KOMBE LA MKUU WA MAJESHI (CDF CUP)

JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO Simu ya Upepo   : “ N G O M E ”         Makao Makuu ya Jesh...

logo[3]
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO

Simu ya Upepo   : “N G O M E        Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo : DSM 22150463    Sanduku la Posta 9203,
Telex                  : 41051            DAR ES SALAAM, 02 June 2017
Tele Fax        : 2153426
Barua pepe    : ulinzimagazine@tpdf.mil.tz
Tovuti        : www.tpdf.mil.tz
Wito wa Vyombo vya Habari

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa wito kwa vyombo vya Habari ili kufanya coverage ya kufungwaji wa mashindano ya kombe la Mkuu wa Majeshi (CDF CUP) ambayo yanatarajiwa kufungwa  rasmi tarehe 04 Juni 2017 katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.  Mgeni rasmi  anatarajiwa kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo, kuanzia Saa nne (4:00) kamili asubuhi.
Lengo la mashindano hayo lilikuwa kudumisha mshikamano, kuvumbua na kukuza vipaji na kupata timu itakayo wakilisha Jeshi na Taifa kwa ujumla katika mashindano ya michezo ya Majeshi na Utamaduni kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka huu mashindano yanayotarajiwa kufanyika nchini Burundi mwezi wa nane 2017.Ukiwa mdau wa habari inaombwa chombo chako kufanya ‘coverage’ katika tukio hili muhimu.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania.


COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: SHEREHE ZA UFUNGAJI WA MASHINDANO YA KOMBE LA MKUU WA MAJESHI (CDF CUP)
SHEREHE ZA UFUNGAJI WA MASHINDANO YA KOMBE LA MKUU WA MAJESHI (CDF CUP)
https://lh3.googleusercontent.com/dxZg7itImBYYPTqJ7tqmttxyh_cwqbGKDUc8p1NYoGszmSbYNXcGBX360_vRnrrzGUmYSEbBgKktXa1VzOWI6J26Uq0f2Q61SPKWLqRXr4hDOH9dYpjF-59ykQEmtnUYbRr7-2KRee4T5rSTxw
https://lh3.googleusercontent.com/dxZg7itImBYYPTqJ7tqmttxyh_cwqbGKDUc8p1NYoGszmSbYNXcGBX360_vRnrrzGUmYSEbBgKktXa1VzOWI6J26Uq0f2Q61SPKWLqRXr4hDOH9dYpjF-59ykQEmtnUYbRr7-2KRee4T5rSTxw=s72-c
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/sherehe-za-ufungaji-wa-mashindano-ya.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/sherehe-za-ufungaji-wa-mashindano-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy