Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga imeungana na AFC Leopard ya Kenya kuingia nusu fainali ya michua...
Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga
imeungana na AFC Leopard ya Kenya kuingia nusu fainali ya michuano hiyo
baada ya kuitoa Tusker pia ya Kenya kwa mikwaju ya penati. Katika mchezo
wa fungua dimba ya michuano hiyo uliowakutanisha Singida United
inayofundishwa na Mholanzi, Hans
Van Der Pluijm kutolewa mashindanoni kwa mikwaju ya penati 5-4. Yanga
nayo ililazimika kuingia nusu fainali kwa changamoto ya mikwaju ya
penati baada ya kwenda sare na AFC Leopard bila kufungana katika muda wa
kawaida. Yanga imeitoa ACF Leopard kwa mikwaju ya penati 4-2.
COMMENTS