Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Balozi wa Morocco nchini, Mheshimiwa Abdelilah Benrwayane katika futari aliyoiandaa kwenye v...
|
Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akiteta na Balozi wa Morocco nchini, Mheshimiwa Abdelilah
Benrwayane katika futari aliyoiandaa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma,
Juni 8, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) |
|
Spika wa Bunge, Job Ndugai
(kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Bunge, Azan Mussa Zungu (kulia kwake), Mbunge wa
Mbarali, Haroon Mulla Pirmohamed (wa pili kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa, Valentino Mlowola katika
futari iliyoandaliwa wa Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa kwenye viwanja vya Bunge
mjini Dodoma Juni 8, 2017 |
|
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Mbunge
wa Nsimbo, Mhandisi Richard Mbogo baada kufuturisha kwenye viwanja vya Bunge
mjini Dodoma Juni 8, 2017. |
COMMENTS