Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mh. Edward Lowassa,(wapili kulia), akisalimiana na waumini wa dini ya Kiislamu...
Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Mh. Edward
Lowassa,(wapili kulia), akisalimiana na waumini wa dini ya Kiislamu
waliojumuika pamoja kwenye futari iliyoandaliwa na Mbunge wa jimbo la Ukonga
jijini Dar es Salaam, Mhe. Mwita Waitara(kulia) hapo juzi. Waislamu kote nchini
wanaungana na wenzao duniani katika kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitr
Jumatatu Juni 26, baada ya kukamilisha ibada ya funga ya mwezi mtukufu wa
Ramadhan.
Mhe. Lowasa akizungumza baada ya futari hiyo
Mhe. Waitara akizungumza baada ya futari hiyo
Mhe. Lowassa akisalimiana na wageni waalikwa kwenye futari hiyo
COMMENTS