Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga (kulia) akisalimiana na na Mwe...
Katibu Mkuu Wizara ya Afya
Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga (kulia) akisalimiana na na Mwenyekiti wa wazee waishio
katika Makazi ya kulea wazee ya Njiro yaliyopo Moshi Mkoani kilimanjaro, Nyasi Athanas wakati Katibu Mkuu huyo alipotembelea
katika makazi hayo hivi karibuni.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya
Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto, (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya
kuwasili Makazi ya kulea wazee ya Njiro hivi karibuni.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya
Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga (kulia) akizungumza na Afisa Mfawidhi wa Kituo cha Makazi
ya kulea wazee ya Njiro, Ndeta Tenga wakati alipotembelea
katika makazi hayo hivi karibuni.
Afisa Mfawidhi wa Kituo cha
Makazi ya kulea wazee ya Njiro, Ndeta Tenga (kushoto) akifafanua
jambo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee
na Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga (kulia) wakati Katibu
Mkuu huyo alipotembelea katika makazi hayo hivi karibuni.
Afisa Mfawidhi wa Kituo cha
Makazi ya kulea wazee ya Njiro, Ndeta Tenga (katikati) akimuonesha
mazingira ya kituo hicho Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii,
Jinsia, Wazee na Watoto (Maendeleo ya Jamii) Bi. Sihaba Nkinga(kushoto)
wakati Katibu Mkuu huyo alipotembelea katika makazi hayo hivi karibuni.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (Maendeleo ya Jamii)
Sihaba Nkinga akisalimiana na wazee mbalimbali waishio katika Kituo cha
Makazi ya kulea wazee ya Njiro wakati alipotembelea katika makazi hayo
hivi karibuni.
Baadhi ya maeneo ya kituo cha Makazi ya kulea wazee cha Njiro yaliyopo Moshi Mkoani Kilimanjaro. (Picha zote na Raymond Mushumbusi MAELEZO).
COMMENTS