Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga (wa pili kulia) akio...
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na
Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga (wa pili kulia) akiongozana
na watendaji kutoka Wizarani pamoja na viongozi wa Chuo cha Maendeleo ya
Jamii Misungwi alipotembelea katika Chuo hicho kwa ziara ya kikazi hivi
karibuni.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto
(Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga (wa tatu kushoto) akimsikiliza Mkuu
wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Misungwi Mhandisi Harold Jackson Mtyana
(kulia) alipokuwa akimuelezea kuhusu chumba cha Kompyuta cha Chuo hicho
wakati wa ziara yake ya kikazi hivi karibuni.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
(Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga akitumia moja ya Kompyuta zilizopo
katika Chumba cha Kompyuta cha Chuo cha Maendeleo ya Jamii Misungwi
ikiwa ni mradi uliwezeshwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania na Serikali ya Korea ya Kusini.
Muonekano
Chumba cha Kompyuta cha Chuo cha Maendeleo ya Jamii Misungwi ikiwa ni
mradi uliwezeshwa kwa ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Serikali ya Korea ya Kusini.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na
Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga akitia saini katika kitabu
cha wageni mara baada ya kuwasili katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii
Misungwi alipofanya ziara ya kikazi hivi karibuni.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na
Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba Nkinga akizungumza na Mkuu wa Chuo
cha Maendeleo ya Jamii Misungwi Mhandisi Harold Jackson Mtyana
alipofanya ziara ya kikazi hivi karibuni.
Mkuu
wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Misungwi Mhandisi Harold Jackson Mtyana
(kulia) akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya
Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto (Maendeleo ya Jamii) Sihaba
Nkinga (kushoto) wakati Katibu Mkuu huyo alipotembelea katika Chuo cha
Maendeleo ya Jamii Misungwi kwa ziara ya kikazi hivi karibuni.
(Picha na Raymond Mushumbusi MAELEZO Misungwi Mwanza)
COMMENTS