Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya y...
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto Bi.
Sihaba Nkinga akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Juma
Samwel Sweda ( wa pili kulia) wakati alipomtembelea Ofisini kwake hivi
karibuni.
Mkuu
wa Wilaya ya Misungwi Mhe. Juma Samwel Sweda akizungumza na Katibu Mkuu
Wizara ya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba
Nkinga(kulia) alipomtembelea Ofisini kwake hivi karibuni.
Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Elliurd Mwaitekele(kushoto)
akifafanua jambo kwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii ,
Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Sihaba Nkinga(hayupo Pichani) wakati Katibu
Mkuu huyo alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Misungwi hivi
karibuni kulia ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu kutoka Wizara
ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto Bi Deodata Makani na
Kaimu Mkurugenzi wa Manunuzi kutoka Wizara hiyo Bi. Martha Chuma.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na
Watoto(Maendeleo yaJamii) Bi. Sihaba Nkinga(kushoto) akimsikiliza
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi Bw.Elliurd
Mwaitekele(kulia) wakati wakijadiliana jambo mara baada ya Katibu Mkuu
huyo kutembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Misungwi hivi karibuni.
Katibu
Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto Bi.
Sihaba Nkinga(kushoto) akimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Misungwi Mhe.Juma
Samwel Sweda(kulia) wakati wakijadiliana jambo mara baada ya Katibu Mkuu
huyo kutembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya huyo hivi karibuni.Picha zote
na Raymond Mushumbusi MAELEZO Misungwi Mwanza.
COMMENTS