KAMPUNI YA WAZAWA YAKAMILISHA HATUA ZA MSINGI KUUZA HISA ZAKE KWA WATANZANIA -MAXMALIPO

Mjumbe wa Bodi ya kampuni ya Maxcom Africa Dkt. Donalth Ulomi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza...

[​IMG]

Mjumbe wa Bodi ya kampuni ya Maxcom Africa Dkt. Donalth
Ulomi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza
hati iliyopewa kampuni hiyona ambayo inaiwezesha Kampuni kumilikiwa na Umma wa Watanzania.
Akiongea na Wanahabari Dkt. Ulomi amesema kwamba Kuanzia Sasa Kampuni ya Maxcom Africa itatambulika kwa Jina la Maxcom Africa Public Limited Company (Maxcom Africa PLC).  Kampuni hii maarufu kwa jina la Maxmalipo ni Moja ya Kampuni zilizoanzishwa na kuendeshwa na wazawa watanzania ambayo imeifikia
hatua za Mwisho katika mchakato wa kuanza  kuuza hisa zake kwenye soko la
hisa.   Dkt. Olumi amewaambia wanahabari kwamba wanasubiri kibali cha
wasimamizi wa Soko la Hisa ili waweze Kuorodhesha Kampuni yao katika Soko hilo
             
Kampuni hii ilianzishwa mwaka 2008 na mpaka leo imefika nchi zaidi ya 5 barani Africa. Hafla hiyo ya uzinduzi wa uuzaji wa hisa ulifanyika mapema leo katika makao makuu ya Maxcom Africa Kijitonyama Jijini Dar es Salaam.

[​IMG]
Mjumbe wa Bodi ya kampuni ya Maxcom Africa Dkt Donalth Ulomi (kushoto) akikata utepe wa kuzindua rasmi Jina Lipya la Kampuni ya  Maxcom Africa PLC anayeshuhudia ni Mkurungezi wa Uendeshaji wa Maxcom Africa Ahmed Lusasi mapema leo katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika makao makuu ya Maxcom Africa PLC Kijitonyama Jijini Dar es Salaam.




[​IMG]
Mjumbe wa Bodi ya kampuni ya Maxcom Africa Dkt. Donalth Ulomi (kushoto) akionesha nembo ya jina jipya Maxcom Africa PLC na kushoto kwake ni Mkurungezi wa Uendeshaji wa Maxcom Africa Bw.Ahmed Lusasi mapema leo katika hafla ya uzinduzi wa Jina jipya la Kampuni hiyo iliyofanyika makao makuu ya Maxcom Africa PLC Kijitonyama Jijini Dar es Salaam



[​IMG]
Mjumbe wa Bodi ya kampuni ya Maxcom Africa Dkt. Donalth Ulomi akifanya mahojiano na mwandishi wa habari mara baada ya uzinduzi rasmi wa Jina Jipya la Kampuni ya Maxcom Africa PLC. 

[​IMG]

Mjumbe wa Bodi ya kampuni ya Maxcom Africa Dkt. Donalth Ulomi akifanya mahojiano na mwandishi wa habari mara baada ya uzinduzi rasmi wa Jina Jipya la Kampuni ya Maxcom Africa PLC. 

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KAMPUNI YA WAZAWA YAKAMILISHA HATUA ZA MSINGI KUUZA HISA ZAKE KWA WATANZANIA -MAXMALIPO
KAMPUNI YA WAZAWA YAKAMILISHA HATUA ZA MSINGI KUUZA HISA ZAKE KWA WATANZANIA -MAXMALIPO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5c91Qx_Yb1AIkZeExX-f3JS183Jobujj4zGy5o4wC5fHf5b8Kyx_N2SK9MHxbCzGz0rA_hVkEfa2jrhfa_TtftFcNHPdMsl1hGhtd6RhAYYJeAFk22Qho9coIW1xx1TIAyshrfUi0iWk/s640/IMG_3019.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5c91Qx_Yb1AIkZeExX-f3JS183Jobujj4zGy5o4wC5fHf5b8Kyx_N2SK9MHxbCzGz0rA_hVkEfa2jrhfa_TtftFcNHPdMsl1hGhtd6RhAYYJeAFk22Qho9coIW1xx1TIAyshrfUi0iWk/s72-c/IMG_3019.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/kampuni-ya-wazawa-yakamilisha-hatua-za.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/kampuni-ya-wazawa-yakamilisha-hatua-za.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy