Waziri wa Fedha na Mpango Mhe. Dkt.Philip Mpango akiwaonyesha waandishi wa Habari mkoba wenye hotuba ...
Waziri wa Fedha na Mpango
Mhe. Dkt.Philip Mpango akiwaonyesha waandishi wa Habari mkoba wenye hotuba
ya bajeti ya Serikali kwa mwaka 2017/2018 leo Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mpango
Mhe.Dr.Philip Mpango akiwasilisha Bungeni mapendekezo ya Serikali kuhusu
makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha kwa mwaka 2017/18.
Wabunge wakiingia Ukumbi wa Bunge kusikiliza hotuba ya bajeti ya Serikali kwa mwaka 2017/2018 leo Bungeni Mjini Dodoma.
Wabunge wakisikiliza hotuba ya Bajeti ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2017/2018 leo Bungeni Mjini Dodoma Juni 8 2017. (Picha zote na MAELEZO,DODOMA)
COMMENTS