HAKUNA WA KUTUZUIA KUPATA USHINDI MBELE YA SIMBA - NAKURU STARS

Mshambulaji wa kitanzania Jerome Nturukundo (kushoto) anayekipiga katika timu ya Nakuru Stars ya nchini Kenya. Na Zainab N...


Mshambulaji wa kitanzania Jerome Nturukundo (kushoto) anayekipiga katika timu ya Nakuru Stars ya nchini Kenya.

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Mshambulaji wa timu ya Nakuru All Stars Mtanzania Jerome Nturukundo amesema kuwa mechi yao dhidi ya Simba itakuwa ni ngumu sana ila watahakikisha wanafanya vizuri ili kuingia hatua ya nusu fainali.

Nakuru wanatakutana na mabingwa wa kombe la FA Simba katika mchezo wa mtoano utkaoafanyika leo saa 10:15 alasiri kwenye dimba la uwanja wa Uhuru.

Nturukundo amesema kuwa wanajua Simba ni timu nzuri sana lakinina wao wamekuja kupambana na kuhakikisha wanapata ushindi na kuingia hatua inayofuata.

"Tutajua simba ni team nzuri lakini na sisi  pia tunekuja kiushindani na wafahamu timu yetu imekamilika na leo wapo katika wakati mgumu kwa sababu  sisi pia tumekuja kushinda,"amsema Jerome

Kwa upande wa beki wa kati  James sadicky mukhwana yeye amesema kuwa ujio wao Tanzania ni kwa ajili ya kuhakikisha wanapat ushindi katika michezo yao na malengo yao ni kuona kombe la Sportpesa Super Cup likienda nchini Kenya.

"Simba wasifikiri itakua rahisi kuweza kuoata ushindi katika mchezo wetu wa leo kwani tunataka kombe liiende nyumbani Nchini Kenya na mimi kama mlinzi nitahakikisha hakuna makosa yatakayofanyika katika eneo langui,"amesema  mukhwana.  

Timu ya Nakuru inanolewa na kocha mzawa George Maina imekuja nchini katika michuano ya Sportpesa Super Cup iliyoandaliwa na kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Sportpesa.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: HAKUNA WA KUTUZUIA KUPATA USHINDI MBELE YA SIMBA - NAKURU STARS
HAKUNA WA KUTUZUIA KUPATA USHINDI MBELE YA SIMBA - NAKURU STARS
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiq6nLZHMI5djUIaJieztchuMPZ7ZW_DrrSNkJkN9Z8dN0mzsIklM-yRYPbcaXkUrHnk9mPXdaW7U25fm-1TeTkgeChIrUg1suXG5HibAsl4eETOUlORi1cNDSFQSuiYSRhaioQGwxCkC76/s400/jerome.jpeg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiq6nLZHMI5djUIaJieztchuMPZ7ZW_DrrSNkJkN9Z8dN0mzsIklM-yRYPbcaXkUrHnk9mPXdaW7U25fm-1TeTkgeChIrUg1suXG5HibAsl4eETOUlORi1cNDSFQSuiYSRhaioQGwxCkC76/s72-c/jerome.jpeg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/hakuna-wa-kutuzuia-kupata-ushindi-mbele.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/hakuna-wa-kutuzuia-kupata-ushindi-mbele.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy