Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa...
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe wa
Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za
CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya
Wilaya hiyo mkoani Geita, Juni 9, 2017.
Wajumbe wakishangilia Ukumbini wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Bulembo alipowasulu ukumbini kwenye kikao hicho.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Bulembo akiingia ukumbini kuemdesha kikao hicho.
Wasanii wa Kikundi cha CCM, wakitumbuiza kuchangamsha kabla ya kuanza kikao hicho.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Bulembo akisaini kitabu cha wageni baada ya
kuwasili ukumbini. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Joseph
Kasheku Msukuma na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Chato Ibrahim
Bagula.
Ofisa
kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania Omari Kalolo akiimba
nyimbo za hamasa wakati ajikitambulisha kwenye mkutano huo.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Chato Ibrahimu Bagula akifungua kikao hicho.
Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Geita, Mbunge wa Bukombe Doto Biteko akisalimia baada yakutambuishwa kwenye kikao hicho
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Joseph Kasheku Msukuma, akimkaribisha Alhaj Bulembo kuzungumza kwenye kikao hicho
Mkuu wa Wilaya ya Chato Shabani akimkabidhi taarifa ya Wilaya hiyo.
Wajumbe ukumbini
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbewa
Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za
CCM, Madiwani, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya
Wilaya hiyo mkoani Geita, Juni 9, 2017.
Kada
wa CCM Paschal Kitandula, akiahidi kumpatia Kiwanja, Chato, Alhaj
Bulembo ikiwa ni sehemu ya shukrani kwa kuwa Meneja wa Kampeni ya Rais
Dk. Magufuli wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimkabidhi ya Jumuia ya
Wazazi mmoja wa wanachama wapya 130 waliojiunga na Jumuia hiyo wakati wa
kikao hicho.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimpongeza Joseph Chacha
ambaye alitangaza kuhamia CCM wakati wa kikao hicho. Chacha alikuwa
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chadema katika Wilaya za Geita na
Chato.
Joseph Chacha akizungumza baada ya kupokewa rasmi ndani ya CCM wakati wa kikao hicho.
Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Alahj Abdallah Bulembo akiagana na badhi ya
Wana-CCM baada ya kikao chake na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM
Wilaya ya Chato, Wajumbe wa Mabaraza ya Juuia za CCM, Madiwani, Mabalozi
na Watendaji wa Serikali, katika Ofisi ya CCM ya Wilaya hiyo mkoani
Geita, Juni 9, 2017. (PICHA NA BASHIR NKOROMO)
COMMENTS