BULEMBO AMALIZA ZIARA MKOANI KAGERA KWA KUUNGURUMA NA WAJUMBE WA BUKOBA VIJIJINI NA MULEBA, LEO

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akivalishwa Skavu alipokuwa kwenye mpaka wa W...



Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo akivalishwa Skavu alipokuwa kwenye mpaka wa Wilaya ya Bukoba Mjini na Wilaya ya Muleba, leo.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akitangulia kwenda kupanda gari baada ya kuvishwa skafu

Vijana wa Bodaboda wakiongoza msafara wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo kwenda Mjini Muleba ukitokea Bukoba mjini, leo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Muleba Muhaji Bushako aliyekuwa akimweleza jambo, wakati wa kikao cha Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Muleba, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za CCM na Watendaji wa Serikali, mjini Muleba, leo

Afisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania  Fadhili Mlami akisalimia wajumbe baada ya kutambulishwa kweye kikao hicho. Kulia ni Katibu wa Siasa na Oganaizesheni Makao Makuu ya Jumuia hiyo Daniel Mgaya

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Muleba mkoani Kagera, Bakari Juma, akitoa ufafanuzi kuhusu utekelezwaji wa miradi mbalimbali katika Manispaa hiyo, alipoalikwa kutoa maelezo kwenye kikao hicho, leo 

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimvisha shati la CCM Njami Mabula, ambaye yeye na wenzake saba walipokewa na Alhaj Bulembo baada ya kutangaza kuihama Chadema na  kujiunga na CCM, kwenye kikao hicho mjini Muleba mkoani Kagera, leo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimvisha pama ya CCM Bushako Njami, ambaye yeye na wenzake saba walipokewa na Alhaj Bulembo baada ya kutangaza kuihama Chadema na  kujiunga na CCM, kwenye kikao hicho mjini Muleba mkoani Kagera, leo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wapya aliowapokea baada ya kutangaza kuihama Chadema na  kujiunga na CCM, kwenye kikao hicho mjini Muleba mkoani Kagera, leo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akimpongeza Diwani wa Kata ya Karamba  Felix France, kwa kufanikisha wanachama hao wa Chadema kuhamia CCM kwenye kikao hicho mjini Muleba mkoani Kagera, leo

Katibu wa CCM mkoa wa Kagera  Rahel Ndegereka akifanya utambulisho wakati wa kikao hicho.





Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera Constasia Buhiye akifua rasmi kikao hicho

katibu wa Jumuia ya Wazazi Tanzania mkoa wa Kagera akimkabidhi kitenge Kwa Mama Buhiye ili akikabidhi kwa Alhaj Bulembo ikiwa ni zawadi kutoka kwa Nina Mama wa UWT wa mkoa huo.

Alhaj Bulembo akikifurahia kitenge hicho baada ya kukabidhiwa

Alhaj Bulembo akikabidhiwa pia kitambaa kwa ajili ya kushonea suti





Alhaj Bulembo akifurahia zawadi ya Kahawa aliyozawadiwa

Ukumbi ukilipuka kwa nderemo na vifijo baada ya zawadi hizo kukabidhiwa

Meza Kuu nao wakisimama kuunga mkono nderemo hizo

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na wajumbe katika kikao hicho, mjini Muleba mkoani Kagera, leo

KIKAO CHA BUKOBA VIJIJINI🔽
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bukoba Vijijini Novatus Mkwama, akizungumza wakati wa kufungua kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya hiyo, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za CCM, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, kikao kilichofanyika Bukoba mjini leo. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo na kulia ni Katibu wa CCM Mstaafu mkoa wa Kagera Faustine Kamaleki na Katibu wa CCM mkoa huo Rahel Ndegereka.

Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bukoba Vijijini Novatus Mkwama, akizungumza wakati wa kufungua kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya hiyo, Wajumbe wa Mabaraza ya Jumuia za CCM, Mabalozi na Watendaji wa Serikali, kikao kilichofanyika Bukoba mjini leo. Kushoto ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo na kulia ni Katibu wa CCM mkoa huo Rahel Ndegereka.

Kikosi kazi cha mambo ya habari kikiwa kazini nje ya ukumbi wakati wa mkutano huo.

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza wakati wa kikao hicho. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera Costansia Bihiye na kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Bukoba Vijijini Novatus Mkwama.

Sekretarieti ya CCM Bukoba Vijijini ikiwa kazini wakati wa kikao hicho

Wajumbe wakimsikiliza kwa makini Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo wakati akizungumza nao kwenye kikao hicho

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza wakati wa kikao hicho

Wajumbe wakimsikliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwa akizungumza wakati wa kikao hicho

Maofisa kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania, wakiwa kwenye kikao hicho

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Alhaj Abdallah Bulembo akisisitiza jambo wakati akizungumza wakati wa kikao hicho. (PICHA NA BASHIR NKOROMO)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: BULEMBO AMALIZA ZIARA MKOANI KAGERA KWA KUUNGURUMA NA WAJUMBE WA BUKOBA VIJIJINI NA MULEBA, LEO
BULEMBO AMALIZA ZIARA MKOANI KAGERA KWA KUUNGURUMA NA WAJUMBE WA BUKOBA VIJIJINI NA MULEBA, LEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijR-Nqi5w_SrMLW4OaaWLuS85p8fd_JZJvyG054IOyZlaIhRJD94n3KSTTPNSAdOCaPPBGnaJihDTFJLMYzcQFdKRLTjlPdOqQPrPfonOix1Tz-m3OOlDb144ZTr_yl-FpOzhmKbfewDwi/s640/BN641893.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijR-Nqi5w_SrMLW4OaaWLuS85p8fd_JZJvyG054IOyZlaIhRJD94n3KSTTPNSAdOCaPPBGnaJihDTFJLMYzcQFdKRLTjlPdOqQPrPfonOix1Tz-m3OOlDb144ZTr_yl-FpOzhmKbfewDwi/s72-c/BN641893.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/bulembo-amaliza-ziara-mkoani-kagera-kwa.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/06/bulembo-amaliza-ziara-mkoani-kagera-kwa.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy