WABUNGE WATAKIWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KUWASAIDIA WASICHANA WANAOPATA MIMBA SHULENI

Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii  Mtandao wa Mashirika yanayopinga ndoa za utotoni wameitaka serikali kuweka mfumo madhubuti ut...


Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii 
Mtandao wa Mashirika yanayopinga ndoa za utotoni wameitaka serikali kuweka mfumo madhubuti utakaowawezesha wanafuzni wa kike kuendelea kufurahia haki yao ya kupata elimu bora mara baada ya kujifungua.

Akitoa tamko hilo Mwenyekiti wa mtandao huo, Valerian Msoka amesema Serikali, wabunge na wadau wengine kujikita katika kupambana na changamoto zinazopelekea mimba za utotoni ikiwemo ubovu wa miundombinu ya elimu kukosekana kwa elimu bora ya afya ya uzazi.

“Mtandao wa kupinga ndoa za utotoni unaamini kuwa Tanzania ina uongozi na wawakilishi wanaojali maslahi ya wananchi ambapo watoto wa kike ni miongoni mwa hao. Na ni kwa sababu hiyo mtandao una imani kuwa sauti yao itsikilizwa kwani wasichana hawa wanaopoteza masomo kutokana na mimba ni sehemu ya nguvu kazi muhimu ya msingi na yenye tija kufikia Tanzania ya Viwanda” amesema Msoka.

Msoka amemaliza kwa kusema kuwa utafiti wa kitaifa kuhusu Vichocheo na madhara ya ndoa za utotoni nchini Tanzania uliofanywa mwaka 2016 umebaini kuwa wasichana wana uelewa mdogo juu ya afya ya uzazi.

Mwenyekiti wa Mtandao wa kutetea wadada wadogo, Valerian Msoka 
Mwenyekiti wa Tamwa , Eda Sanga akizungumza juu ya kuwaomba wabunge kutunga sheria kuwasaidia watoto wanaopata mimba mashuleni 
Mkurugenzi wa Tawla nchini ,Tike Mwambipile akizungumza wakati wa kutoa tamko hilo .
Mkurugenzi wa Shirika la Watoto, Koshuma Mtengeti akizungumza juu ya tamko hilo
Waandishi wa habari wakifatilia mkutano huo 
Baadhi ya wanachama wa tasisi mbalimbali zisizo za kiserikali wakiwa katika mkutano huo
Waandishi na wana harakati wakisikiliza tamko hilo kwa makini

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WABUNGE WATAKIWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KUWASAIDIA WASICHANA WANAOPATA MIMBA SHULENI
WABUNGE WATAKIWA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KUWASAIDIA WASICHANA WANAOPATA MIMBA SHULENI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhimy_oarLBGDCjxqCWx-IK-62RYVKHIDwrUEqZoXgOGOrLQ8AIAGeYDs8AO5C9VeZwKqjx4fBEBFT4tkjZIec-KFq6kbu9rD4bwZbqcrdbstq5Cmi1I8-461qMy37ozcoU8neB_jjrtZk/s640/1.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhimy_oarLBGDCjxqCWx-IK-62RYVKHIDwrUEqZoXgOGOrLQ8AIAGeYDs8AO5C9VeZwKqjx4fBEBFT4tkjZIec-KFq6kbu9rD4bwZbqcrdbstq5Cmi1I8-461qMy37ozcoU8neB_jjrtZk/s72-c/1.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/wabunge-watakiwa-kuunga-mkono-juhudi-za.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/wabunge-watakiwa-kuunga-mkono-juhudi-za.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy