WABUNGE WAPEWA SOMO KUHUSU FAIDA ZA UTALII NA UMUHIMU WA KUHIFADHI WANYAMA PORI

Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Prof Alexander Songorwa akitoa mada ya kwanini watanzania tuhifadhi uoto wa asili na wanyamap...


Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Prof Alexander Songorwa akitoa mada ya kwanini watanzania tuhifadhi uoto wa asili na wanyamapori wakati wa semina kuhusu umuhimu wa uhifadhi wa maliasili, malikale na maendeleo ya utalii nchini iliyoandaliwa na Wizara Maliasili na Utalii kwa Wabunge na kufanyika jana Bungeni mjini Dodoma. SOURCE: Daily News-Habarileo Blog.
 Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Wanyamapori Serengeti (TAWIRI), Dk. Robert Fyumagwa akitoa mada katika semina hiyo juu ya athari za muingiliano wa mifugo na Wanyamapori.

 Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), Prof Dos Santos Silayo akitoa mada juu ya umuhimu wa uhifadhi misitu nchini. 

Profesa Dos Santos Silayo, wakati akiwasilisha mada ya umuhimu wa uhifadhi wa misitu nchini alisema ni vyema misitu ikatunzwa kwa kuwa ndio utajiri mkubwa kwa watanzania.

Alisema misitu ndio huzalisha vyanzo vya maji, husababisha mvua, hutumika kama utalii wa ikolojia, hutunza wanyama na ndege lakini kubwa zaidi husaidia katika kutunza mazingira.
 Katibu Mtendaji wa Shirikisho la Vyama vya Utalii Tanzania (TCC), Richard Rugimbana akitoa mada yake juu ya maendeleo ya Utalii na Umuhimu wake katika uchumi wa Tanzania.
 Maofisa wa Wizara ya Mali Asili na Utalii wakiwa katika semina hiyo.
 Mkurugenzi wa Idara ya Wanyamapori, Prof Alexander Songorwa akitoa mada ya kwanini Watanzania tuhifadhi uoto wa asili na wanyamapori. 

Profesa Songorwa endapo uoto wa asili usipohifadhiwa kuna hatari ya kupungua kwa maeneo yaliyohifadhi hewa ya oxygen.

Changamoto nyingine za kutohifadhi uoto wa asili ni kufa kwa mfumo wa ikolojia, wanyamapori na vivutio vya kitalii kuharibika na kupungua na hata kutoweka. BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WABUNGE WAPEWA SOMO KUHUSU FAIDA ZA UTALII NA UMUHIMU WA KUHIFADHI WANYAMA PORI
WABUNGE WAPEWA SOMO KUHUSU FAIDA ZA UTALII NA UMUHIMU WA KUHIFADHI WANYAMA PORI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvwTMz1FNjv8zvsyAhfACZR6dqOc5QqZqg_Ov43LOsw2_lyRjD2d4J8ApRDnNt7bWMDMgqmr02Hn6HRReS0eY4VWb5R_HtIEQxcciXdqc3G3Rr27UVstf6qI3-F2dH5CxyfPCMcsyR8Ckn/s640/_TM_3406.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvwTMz1FNjv8zvsyAhfACZR6dqOc5QqZqg_Ov43LOsw2_lyRjD2d4J8ApRDnNt7bWMDMgqmr02Hn6HRReS0eY4VWb5R_HtIEQxcciXdqc3G3Rr27UVstf6qI3-F2dH5CxyfPCMcsyR8Ckn/s72-c/_TM_3406.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/wabunge-wapewa-somo-kuhusu-faida-za.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/wabunge-wapewa-somo-kuhusu-faida-za.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy