Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni Ikulu jiji...
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea
jambo na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni Ikulu jijini Dar es
salaam kabla ya kuana Mkutano wa 18 wa wakuu wa Nchi za Jumuiya ya
Afrika Mashariki Mei 20,2017.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea
Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni Ikulu jijini Dar es salaam kabla
ya kuana Mkutano wa 18 wa wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mei 20,2017
Rais akisalimiana na Naibu Rais wa Kenya, William Rutto
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea
na kumkaribisha Makamu wa Rais wa Kenya William Samoei Arap Ruto Ikulu
jijini Dar es salaam kabla ya kuana Mkutano wa 18 wa wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki Mei 20,2017
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na
kumkaribisha Mhe. Gaston Sindimwo Makamu wa Rais wa Burundi Ikulu
jijini Dar es salaam kabla ya kuana Mkutano wa 18 wa wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki Mei 20,2017
COMMENTS