NEEC NA TSN WASAINI MAKUBALIANO UHAMASISHAJI WA WANANCHI JUU YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI

 Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’I Issa na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ...


 Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’I Issa na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited, Dk. Jim Yonazi wakisaini makubaliano ya kufanya kazi pamoja ya uhamasishaji na uelimishaji wananchi juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi. Kazi hiyo itaanza na kongamano  la uwezeshaji wananchi linalotarajia kufanyika mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Kulia ni Meneja Mauzo na Masoko, Januarius Maganga na Mtumishi wa Baraza hilo. (Na Mpigapicha Wetu).
 
 Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uuwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’I Issa na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited, Dk. Jim Yonazi wakitia saini nyaraka za makubaliano ya kufanya kazi pamoja ya uhamasishaji na uelimishaji wananchi  juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi. Kazi hiyo itaanza na kongamano  la uwezeshaji wananchi linalotarajia kufanyika mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’I Issa Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited, Dk. Jim Yonazi wakibadilishana mkataba wa makubaliano ya kufanya kazi pamoja ya uhamasishaji na uelimishaji wananchi juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi baada kutiliana saini. Kazi hiyo itaanza na kongamano  la uwezeshaji wananchi linalotarajia kufanyika mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: NEEC NA TSN WASAINI MAKUBALIANO UHAMASISHAJI WA WANANCHI JUU YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI
NEEC NA TSN WASAINI MAKUBALIANO UHAMASISHAJI WA WANANCHI JUU YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8NAucMqLcNdzP2iOThVAr-Hd3pKeEWCDsvmflDTk7NVyMchUkB8CHZg5e99RdiH3zG5357rH2-MjeJWB-3BsSLLylblYV3Q42oyH14GiZoEsinYFbY0DAu-h9zxRsmppArIAXF3DMsWoB/s640/DSC_0016.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh8NAucMqLcNdzP2iOThVAr-Hd3pKeEWCDsvmflDTk7NVyMchUkB8CHZg5e99RdiH3zG5357rH2-MjeJWB-3BsSLLylblYV3Q42oyH14GiZoEsinYFbY0DAu-h9zxRsmppArIAXF3DMsWoB/s72-c/DSC_0016.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/neec-na-tsn-wasaini-makubaliano.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/neec-na-tsn-wasaini-makubaliano.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy