Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’I Issa na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ...
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi.
Beng’I Issa na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited, Dk.
Jim Yonazi wakisaini makubaliano ya kufanya kazi pamoja ya
uhamasishaji na uelimishaji wananchi juu ya uwezeshaji wananchi
kiuchumi. Kazi hiyo itaanza na kongamano la uwezeshaji wananchi
linalotarajia kufanyika mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni rasmi ni
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Kulia ni Meneja Mauzo na Masoko, Januarius
Maganga na Mtumishi wa Baraza hilo. (Na Mpigapicha Wetu).
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uuwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi.
Beng’I Issa na Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited, Dk.
Jim Yonazi
wakitia saini nyaraka za makubaliano ya kufanya kazi
pamoja ya uhamasishaji na uelimishaji wananchi juu ya uwezeshaji
wananchi kiuchumi. Kazi hiyo itaanza na kongamano la uwezeshaji
wananchi linalotarajia kufanyika mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni
rasmi ni Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Katibu
Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi.
Beng’I Issa Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Magazeti ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited, Dk.
Jim Yonazi wakibadilishana mkataba wa makubaliano ya kufanya kazi pamoja ya uhamasishaji na
uelimishaji wananchi juu ya uwezeshaji wananchi kiuchumi baada kutiliana saini. Kazi hiyo
itaanza na kongamano la uwezeshaji wananchi linalotarajia kufanyika
mjini Dodoma Juni 10, 2017 ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu Kassim
Majaliwa.
COMMENTS