MD KAYOMBO ASHAURI WATANZANIA KUFUATA FURSA ZILIPO

Mkurugenzi wa Manispaa ya ubungo Ndg John Lipesi Kayombo Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kuzifuata fursa zilizopo kat...


Mkurugenzi wa Manispaa ya ubungo Ndg John Lipesi Kayombo

Watanzania wametakiwa kuwa na utamaduni wa kuzifuata fursa zilizopo katika maeneo mbalimbali nchini ili kuiunga mkono Serikali katika jitihada zake za kukuza uchumi wa viwanda.

Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya ubungo Ndg John Lipesi Kayombo wakati akizungumza wakati akitoa taarifa ya mbio za Mwenge unaotaraji kuzuru katika Manispaa ya Ubungo Tarehe 31, Mei 2017.

Alisema kuwa katika mikoa mbalimbali Mwenge wa Uhuru ulipopita umekutana na fursa ambazo Watanzania wakizitafuta na kuzifanyia kazi wataondokana na uvivu, kukaa bila kufanya kazi na umasikini kwa kuwa sasa Serikali iliyopo madarakani ni ya kazi.
Aliongeza kuwa, nchi nyingi zimekuwa kiuchumi kupitia viwanda na kwa kuwa Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kukuza uchumi wa viwanda, wananchi wanapaswa kuzichangamkia fursa mbalimbali ili kufanikisha dhamira ya Serikali kufikia uchumi wa viwanda.

MD amesema kuwa Mwenge wa Uhuru katika Manispaa ya Ubungo utapita katika Miradi mitano ya Maendeleo ambapo Miradi minne kati ya hiyo itazinduliwa na Mradi mmoja wa Ujenzo wa Kituo cha Polisi Gogoni utawekwa jiwe la Msingi.

Alisema kuwa Miradi yote hiyo itakayotembelewa na Mwenge wa Uhuru mwaka 2017 itagharibu jumla ya shilingi Bilioni 2,854,647,991.89

Imetolewa Na;
Kitengo cha Habari na Uhusiano
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MD KAYOMBO ASHAURI WATANZANIA KUFUATA FURSA ZILIPO
MD KAYOMBO ASHAURI WATANZANIA KUFUATA FURSA ZILIPO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZSnd4WVJVfKg47Uw4SNE60fT6-FjYH97UkEeBpmNcA86UrL2A-3fTYM9Rm1RtCNqg50xAUA4HelqULofDrgxrh3fu8Bz4R5y03zf5MQm86xipFbCye6gKfWAEDpThLdMLNTCcffSVnQXb/s640/1111.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiZSnd4WVJVfKg47Uw4SNE60fT6-FjYH97UkEeBpmNcA86UrL2A-3fTYM9Rm1RtCNqg50xAUA4HelqULofDrgxrh3fu8Bz4R5y03zf5MQm86xipFbCye6gKfWAEDpThLdMLNTCcffSVnQXb/s72-c/1111.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/md-kayombo-ashauri-watanzania-kufuata.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/md-kayombo-ashauri-watanzania-kufuata.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy