Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso kulia akimkabidhi vitanda moja kati ya 25 Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani,...
Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso kushoto akiwa ameambatana na Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainabu Issa wakitembelea hospitali ya wilaya ya Pangani kabla ya kukabidhi Msaada wa vifaa tiba ambavyo vimetolewa na Rais John Magufuli
Mganga Mkuu wa wilaya ya
Pangani,Dkt Juma Mfanga kulia akimueleza Mbunge wa Jimbo la Pangani
(CCM) Changamoto zinazowakabili wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa
tiba ambavyo vimetolewa na Rais John Magufuli kwa Mbunge huyo kwa ajili
ya wilaya ya Pangani ambayo ni mashuka 50 na vitanda 25
Pangani,Dkt Juma Mfanga kulia akimueleza Mbunge wa Jimbo la Pangani
(CCM) Changamoto zinazowakabili wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa
tiba ambavyo vimetolewa na Rais John Magufuli kwa Mbunge huyo kwa ajili
ya wilaya ya Pangani ambayo ni mashuka 50 na vitanda 25
Mganga Mkuu wa wilaya ya Pangani, Dkt Juma Mfanga kulia akielezea Changamoto zinazowakabili wakati wa hafla ya makabidhiano ya vifaa tiba ambavyo vimetolewa na Rais John Magufuli kwa Mbunge huyo kwa ajili ya wilaya ya Pangani wa pili kutoka kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso.
Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)
Jumaa Aweso akizungumza katika halfa hiyo ambapo alimshukuru Rais John
Magufuli kwa kuona umuhimu wa kusaidia vifaa ntiba wilaya ya Pangani
Jumaa Aweso akizungumza katika halfa hiyo ambapo alimshukuru Rais John
Magufuli kwa kuona umuhimu wa kusaidia vifaa ntiba wilaya ya Pangani
Mkuu wa wilaya ya Pangani Zainabu Issa akizungumza katika halfa hiyo. Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM) Jumaa Aweso.
Mwenyekiti wa Chama cha
Mapinduzi (CCM) akizungumza katika makabidhiano
hayo
Mapinduzi (CCM) akizungumza katika makabidhiano
hayo
Mkurugenzi wa Halmashauri
ya wilaya ya Pangani,Sabasi Chambasi akizungumza katika halfa
hiyo
ya wilaya ya Pangani,Sabasi Chambasi akizungumza katika halfa
hiyo
Mbunge wa Jimbo la Pangani (CCM)
Jumaa Aweso mara baada ya hafla hiyo kwa kumshukuru Rais John Magufuli
kwa kuona umuhimu wa kusaidia vifaa tiba kwenye wilaya hiyo
Jumaa Aweso mara baada ya hafla hiyo kwa kumshukuru Rais John Magufuli
kwa kuona umuhimu wa kusaidia vifaa tiba kwenye wilaya hiyo
Picha ya pamoja baada ya makabidhiano hayo
(Habari kwa hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha)
COMMENTS