Kamshina wa Polisi nchini Simon Sirro akiandaliwa kwenda kula kiapo mbele ya Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John...
Kamshina
wa Polisi nchini Simon Sirro akiandaliwa kwenda kula kiapo mbele ya
Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwa
Kamshina Jenerali wa Polisi nchini leo Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es
salaam
Rais
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimvua cheo
cha Kamishna wa Polisi Simon Sirro na kumvalisha cheo cha Kamishna
Generali wa Jeshi la polisi nchini leo Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es
salaam
Rais
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha
Mkuu wa Jeshi la Polisi Mteule, Kamishna wa Polisi Simon Sirro kuwa
Kamishna Generali wa Jeshi la Polisi Nchini Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar
es salaam
Rais
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi
nyenzo za kufanyia kazi Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro
mara baada ya kumuapisha Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es salaam
Kamshina
Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro akila kiapo cha maadili ya
utumishi wa Umma mara baada ya kumuapisha na Rais Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Kamshina Jenerali wa Polisi
nchini Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es salaam
Rais
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, makamu wa
Rais Mhe. Samia suluhu Hassan, Waziri wa mambo ya Ndani Mhe. Mwigulu
Nchemba, Kaimu Jaji Mkuu Profesa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John
Kijazi wakiwa katika picha ya pamoja na Kamshina Jenerali wa Polisi
nchini Simon Sirro pamoja na aliyekuwa IGP Ernest Mangu
Rais
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, makamu wa
Rais Mhe. Samia suluhu Hassan, Waziri wa mambo ya Ndani Mhe. Mwigulu
Nchemba, Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Hamis Juma, Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakiwa katika picha ya pamoja na
Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro pamoja na aliyekuwa IGP
Ernest Mangu pamoja na Makamishna wa Polisi
Rais
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, makamu wa
Rais Mhe. Samia suluhu Hassan, Waziri wa mambo ya Ndani Mhe. Mwigulu
Nchemba, Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Hamis Juma, Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakiwa katika picha ya pamoja na
Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro pamoja na aliyekuwa IGP
Ernest Mangu pamoja na Makamishna wa Polisi na maafisa waandamizi
Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro pamoja na aliyekuwa IGP Ernest Mangu. (Picha na IKULU) |
COMMENTS