CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE (TAWLA) CHAFANYA MKUTANO WAKE WA MWAKA JIJINI DAR ES SALAAM

Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka akfungua mkutano wa mwaka wa Chama hicho...


Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka akfungua mkutano wa mwaka wa Chama hicho ulioshirikisha wanachama wake ambao ni wanasheria wanawake, Mkutano huo umefanyika leo kwenye Hoteli ya New Afrika jijini Dar es salaam na kujadili mambo kadhaa yakiwemo mafanikio na changamoto zinazokabili chama chao pamoja na jamii kwa ujumla wake.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
 
Kutoka kulia ni Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania ( TAWLA), Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka, Tike Mwambipile Mkurugenzi Mtendaji wa (TAWLA) na Lulu Ngwanakilala Mtoa mada katika mkutano huo wakifuatilia mambo mbalimbali yaliyojadiliwa na washiriki wa mkutano huo.
Mtoa mada Shamshard Remhamtulla akizungumza katika mmkutano huo uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
Kutoka kulia ni Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania ( TAWLA), Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria Wanawake Nchini Tanzania (TAWLA) Bi. Athanasia Soka, Tike Mwambipile Mkurugenzi Mtendaji wa (TAWLA_
Lulu Ngwanakilala Mtoa mada akizungumza jambo na washiriki wa mkutano wa Chama cha Wanasheria wanawake wa mwaka uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
Mtoa Mada Madeline Kimei kulia akijiandaa kutoa mada katika mkutano huo.
Maria Matui Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake Wanasheria Tanzania ( TAWLA) akielezea baadhi ya taratibu katika mkutano huo.
Baadhi ya washiriki wa mkutano huo Wanasheria wanawake wakifuatilia mada.
  
Kutoka kulia ni Mary RichardLatifa Mwabondo na Khadija Ngasongwa wanachama wa (TAWLA) wakiwa katika mkutano huo.
 
Madeline Kimei Mtoa mada wa mkutano huo pamoja na washiriki wengine wakiwa katika mkutano huo.
Jaji wa Mahakama Kuu Jaji Leila Ngonya pamoja na washiki wengine wanachama wa (TAWLA) wakiwa katika mkutano huo.
Josephine Arnold kutoka (TAWLA) akimsajili mshiriki wa mkutano huo na mwanachama wa (TAWLA) Bi. Mariam Mungula
Washiriki mbalimbali wakijisajili kwa ajili ya kushiriki mkutano huo.
Mmoja wa watoa mada Balozi Mwanaidi Sinare Maajar kushoto akifuatilia jambo katika mkutano huo kulia ni Mariam Mungula na baadhi ya washiriki.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE (TAWLA) CHAFANYA MKUTANO WAKE WA MWAKA JIJINI DAR ES SALAAM
CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE (TAWLA) CHAFANYA MKUTANO WAKE WA MWAKA JIJINI DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEji60Yow4a9F7vCiRKmmvr8WwdMNnoY_uIH3xj7-rynCDbnKeX9r8US27rfcj6cH21MxvFIGsRWGyno2Qtx2nJ2Ol8YlSGUIe_vyJRD_F228Dftzp4QPxgQso-yER3c2WkRRhQ50QF-iWc/s640/1-32.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEji60Yow4a9F7vCiRKmmvr8WwdMNnoY_uIH3xj7-rynCDbnKeX9r8US27rfcj6cH21MxvFIGsRWGyno2Qtx2nJ2Ol8YlSGUIe_vyJRD_F228Dftzp4QPxgQso-yER3c2WkRRhQ50QF-iWc/s72-c/1-32.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/chama-cha-wanasheria-wanawake-tawla.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/05/chama-cha-wanasheria-wanawake-tawla.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy