Baadhi ya wabunge wakiwa kwenye ibada ya kuaga mwili wa marehemu mbunge mwenzao, Mhe. Dkt. Elly Marko Macha kwenye viwanja vya bunge ...
Baadhi ya wabunge wakiwa kwenye ibada ya kuaga mwili wa marehemu mbunge mwenzao, Mhe. Dkt. Elly Marko Macha kwenye viwanja vya bunge mjini Dodoma Aprili 21, 2017. |
Maafisa usalama wa bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, wakiwa wamelibeba jeneza lenye mwili wa marehemu
Dkt. Elly Marko Macha, wakati wa ibada ya kuaga mwili wake kwenye
viwanja vya bunge jini Dodoma leo Aprili 21, 2017. Spika wa bunge Job
Ndugai, aliwaongoza wabunge kuaga mwili wa Dkt. Macha aliyekuwa Mbunge
wa viti Maalum, (CHADEMA). Dkt. Elly Macha ambaye alikuwa mlemavu wa
macho, alifariki dunia mjijini London nchiniUingereza alikokuwa
akipatiwa matibabu. Mwili wa marehemu umesafirishwa kwenda mkoani Arusha
kwa mazishi.
Spika wa bunge Mhe. Job Ndugai, akizunguzma wakati wa ibada hiyo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
Spika wa bunge Mhe. Job Ndugai
Familia ya marehemu.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe
Mhe. Mbowe, akitoa shukrani zake.
COMMENTS