UHALIFU KWA MROMBOO WAPATA MUAROBAINI

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akisalimiana na waendesha boda boda, eneo la kwa kwamromboo waliohuduriia kwenye uwekaji w...



Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akisalimiana na waendesha boda boda, eneo la kwa kwamromboo waliohuduriia kwenye uwekaji wa Jiwe la Msingi kwenye Kituo cha Polisi.
 
1Baadhi wa wananchi waliohudhuria kushuhudia uwekaji wa jiwe la Msingi kwenye Kituo cha Polisi Muriet.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo (kwanza kushoto) akiweka Jiwe la Msingi kwenye Ujenzi wa Kituo cha Polisi Muriet.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo (kwanza kushoto) akiweka Jiwe la Msingi kwenye Ujenzi wa Kituo cha Polisi Muriet.

Mke wa Mfadhili Bwa.Haroun akivishwa vazi la Kimasai na wakazi wa eneo hilo kama shukrani yao kwa kujengewa Kituo cha Polisi. 
 

Nteghenjwa Hosseah, Arusha

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Mashaka Gambo ameweka Jiwe la Msingi kwenye Kituo cha Polisi Kata ya Muriet wakati wa ziara ya Kikazi Jijini hapa yenye lengo la kukagua shughuli za maendeleo pamoja na kutatua kero za wananchi.

Akiweka jiwe la Msingi Mhe. Gambo amesema kwa muda mrefu alikua anakerwa na uhalifu uliokithiri katika eneo hilo na hali hiyo kumsukuma yeye kutafuta mfadhili kwa ajili ya kuwezesha ujenzi wa kituo cha Polisi kitakachosaidia kudhibiti masuala ya Uhalifu.

Aliongeza kuwa baada ya kumpata mfadhili huyo alimlete eneo la ujenzi ambapo pia wahalifu walimuibia Simu yake mbele ya viongozi wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ndipo na mfadhili alipopata ari ya kuanza ujenzi huu haraka iwezekanavyo. 

“Haiwezekani mtu anaiba mbele ya Kamanda wa Polisi hakika hii ilituthibitishia kwamba uhalifu katika eneo hili umekithiri na kwa sababu hakunha Kituo cha Polisi wahalifu wanapata mwanya wa kufanya kazi hii isiyo halali kwa ujasiri zaidi” Alisema Gambo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo Mfadhili ambaye ni Mwenyekiti wa Makampuni ya Lodhia Ndg. Haruni alisema amejitolea sehemu ya mali zake ili kuwasaidia Watanzania wenzake wanaoteseka na tabia za uhalifu zinazorudisha nyuma maendeleo 

Ujenzi wa Kituo hicho utakaogharimu zaidia ya Tsh Mil 200 utakamilika mnamo mwezi Juni 2017.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: UHALIFU KWA MROMBOO WAPATA MUAROBAINI
UHALIFU KWA MROMBOO WAPATA MUAROBAINI
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh814AwlSTekEEMyGSaKdIad4z607RBfAEkG4LkCXSVcEMsw6yixxqJxjxx-0tqjgjZH1rcInOOXtw-c4l14SFT0XZrpiyXDQKdwT41s87w_TutvDhdqnKKuMDlA_WW8AV4d8c98ooPmGo/s640/1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh814AwlSTekEEMyGSaKdIad4z607RBfAEkG4LkCXSVcEMsw6yixxqJxjxx-0tqjgjZH1rcInOOXtw-c4l14SFT0XZrpiyXDQKdwT41s87w_TutvDhdqnKKuMDlA_WW8AV4d8c98ooPmGo/s72-c/1.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/04/uhalifu-kwa-mromboo-wapata-muarobaini.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/04/uhalifu-kwa-mromboo-wapata-muarobaini.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy