MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM YAOMBWA KULINUSURU DARAJA ZISISOMBWE NA MAFURIKO

Wakazi wa Gongolamboto wakipita katika  daraja ambalo kingo zake zimesombwa na  mafuriko barabara ya kuelekea Machinjio ya Pugu Kajiu...






Wakazi wa Gongolamboto wakipita katika  daraja ambalo kingo zake zimesombwa na mafuriko barabara ya kuelekea Machinjio ya Pugu Kajiungeni Dar es Salaam leo.Jitihada za makusudi zisipochukuliwa daraja hilo litasombwa  na maji.

 Mwonekano wa eneo hilo baada ya kusombwa na mafuriko.




Daladala likipita kwenye daraja hilo.

Na Dotto Mwaibale

MANISPAA ya Ilala imeombwa kufanya jitihada za makusudi kuinusuru daraja linaloungani eneo la Gongola mboto na Machinjio ya Pugu ambalo lipokatika hatari ya kusombwa na maji.

Mwito huo umetolewa Dar es Salaam leo na wakazi wa Pugu Machinjioni ambao wamesema iwapo hatua za haraka hazitachukuliwa mawasiliano kati ya wananchi wa eneo 
hilo na Gongolamboto yatatoweka hivyo kuwa adha kwao kwa kufika makwao kwa kupitia Pugu Kajiungeni badala ya barabara ya Gongo lamboto Pugu Machinjioni kupitia kiwanda cha kutengeneza nguo cha Namera.

"Tunaomba manispaa yetu ilifanyie ukarabati daraja hili ambapo kwa sehemu kubwa kingo zake zimesombwa na maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha " alisema Omari Mshamu mkazi wa eneo hilo.

Mkazi mwingine wa eneo hilo Marietha Stanslaus alisema iwapo daraja hilo linasombwa na maji watakaopata shida zaidi ni wanafunzi kwani watalazimika kutumia njia ndefu kufika mashuleni kwao kutokana kuwa wengi wao wanasoma shule za Gongolamboto.

Jithada za kumpata diwani wa eneo hilo ili kuzungumzia suala hilo zilishindika baada ya kupiga simu yake ambayo haikupatikana.

(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM YAOMBWA KULINUSURU DARAJA ZISISOMBWE NA MAFURIKO
MANISPAA YA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM YAOMBWA KULINUSURU DARAJA ZISISOMBWE NA MAFURIKO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg33Px0QzMhesac70F3hgqgrE5T1Ff4LDjIQ7g-yNrfTSrasIbS2gWUzxCvuXHkGdDyrDpvWiFqRK2yoWHuVgtAJKqCkBvsCn37JPAF1KYHv98E7ZETgWH_spZO0lH6zZQG-YuUOivuDCp7/s640/IMG_6124.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg33Px0QzMhesac70F3hgqgrE5T1Ff4LDjIQ7g-yNrfTSrasIbS2gWUzxCvuXHkGdDyrDpvWiFqRK2yoWHuVgtAJKqCkBvsCn37JPAF1KYHv98E7ZETgWH_spZO0lH6zZQG-YuUOivuDCp7/s72-c/IMG_6124.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/04/manispaa-ya-ilala-jijini-dar-es-salaam.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/04/manispaa-ya-ilala-jijini-dar-es-salaam.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy