Wanafunzi wa kikundi cha dufu katika Kijiji cha Donge kitaluni Wilaya ya Kaskazini "B' Mkoa wa Kaskazini Unguja leo,...
Wanafunzi
wa kikundi cha dufu katika Kijiji cha Donge kitaluni Wilaya ya Kaskazini
"B' Mkoa wa Kaskazini Unguja leo,wakimuongoza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein(hayupo pichani)
wakati alipofika kuuzindua Msikiti, Masjidi Madinatul Munawara katika
Kijiji hicho leo Aprili 28, 2017. Msikiti huo umejengwa kwa ufadhili wa Bibi
Latifa Shehab Albreiki aliyeko Dubai, chini ya usimamizi wa Mwakilishi wa Jimbo
la Uzini Mhe. Mohamed Raza Daramsi.
(PICHA NA IKULU YA ZANZIBAR)
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein
akifungua pazia kuuzindua Msikiti huo.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein(kulia) akisalimiana na Mwakilishi wa Jimbo la Donge,pia Waziri wa Fedha
na Mipango Mhe,Dkt.Khalid Salum Mohamed wakati alipowasili katika viwanja vya
Msikiti Masjidi Madinatul Munawara katika Kijiji cha Donge Kitaluni Wilaya
ya Kaskazini "B' Mkoa wa Kaskazini Unguja leo alipofika kuuzindua msikiti
huo uliojengwa kwa ufadhili wa Bibi Latifa Shehab Albreiki Nchini Dubai,chini
ya usimamizi wa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mhe,Mohamed Raza Daramsi
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein(kulia) akisalimiana na Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mhe,Mohamed Raza
Daramsi wakati alipowasili katika viwanja vya Msikiti Masjidi
Madinatul Munawara katika Kijiji cha Donge Kitaluni Wilaya ya Kaskazini
"B' Mkoa wa Kaskazini Unguja leo alipofika kuuzindua msikiti huo
uliojengwa kwa ufadhili wa Bibi Latifa Shehab Albreiki Nchini Dubai
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed
Shein(katikati) akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe,Vuai Mwinyi
Mohamed wakati alipofika kuuzindua wasili Msikiti Masjidi Madinatul Munawara
katika Kijiji cha Donge Kitaluni Wilaya ya Kaskazini "B' Mkoa wa Kaskazini
Unguja leo, uliojengwa kwa ufadhili wa Bibi Latifa Shehab Albreiki Nchini
Dubai,chini ya usimamizi wa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mhe,Mohamed Raza
Daramsi
Baadhi ya Viongozi mbali mbali wa Serikali na na
Waislamu wa Dini ya Kiislamu wakiwa katika Msikiti Masjidi
Madinatul Munawara katika Kijiji cha Donge kitaluni Wilaya ya
Kaskazini "B' Mkoa wa Kaskazini Unguja,katika sherehe za Uzinduzi wa
msikiti huo
Baadhi
ya Waislamu na Wananchi walioalikwa katika sherehe za Uzinduzi wa Msikiti
Masjidi Madinatul Munawara katika Kijiji cha Donge
kitaluni Wilaya ya Kaskazini "B' Mkoa wa Kaskazini Unguja
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein
(kulia) akipokea Funguo za Msikiti kutoka Msimamizi wa Ujenzi wa Msikiti
Masjidi Madinatul Munawara katika Kijiji cha Donge kitaluni Wilaya
ya Kaskazini "B' Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe,Mohamed Raza Daramsi
(kushoto) baada ya Uzinduzi ulifanyika leo Kijijini hapo,Msikiti huo
umejengwa kwa ufadhili wa Bibi Latifa Shehab Albreiki Nchini Dubai
COMMENTS