Na Pamela Mollel Arusha. MFUKO wahifadhi ya wafanyakazi wa serikali za mitaa,LAPF,umeipongeza serikali kwakulipa malimbikizo ya...
Na Pamela Mollel Arusha.
MFUKO
wahifadhi ya wafanyakazi wa serikali za mitaa,LAPF,umeipongeza serikali
kwakulipa malimbikizo ya madeni ambayo mfuko huo na mingine ilikuwa
ikiidai kwamiaka mingi na hivyo kuathiri usitawi wa mifuko hiyo.
Meneja
wa LAPFkanda ya kaskazini, Rajabu Kinande, amesema hatua ya serikali
kulipa madenihayo kumeiongezea mifuko ya hifadhi ya jamii uwezo wa
kuhudumia wanachama waokwa wakati. Kinande, ameyasemahayo Marchi 7
jijini Arusha,alipokuwaakizungumza na vyombo vya habari kwenye kituo cha
mikutano ya kimataifa, AICC,kuelezea hatua ya maandalizi ya mkutano
mkuu wa siku mbili wa mwaka wa wadau waLAPF.
Amesema mkutanohuo utafunguliwa na Waziri mk
uu waJamhuri ya muungano wa Tanzania,Mh,Majaliwa KassimMajaliwa,Marchi 10 mwaka huu ambapo zaidi ya wanachama 1000 wa mfuko huo wanatarajiwa kuhudhuria.
uu waJamhuri ya muungano wa Tanzania,Mh,Majaliwa KassimMajaliwa,Marchi 10 mwaka huu ambapo zaidi ya wanachama 1000 wa mfuko huo wanatarajiwa kuhudhuria.
Awali
MenejaMawasiliano na Masoko wa LAPF,James Mloe, amesema kuwa kwenye
mkutano huokutawasilishwa mada mbalimbali zikiwemo Uendeshaji wa
shughuli za mfukohuo, Hesabu zilizokaguliwa na mkaguzi mkuu wa hesabu za
serikali(CAG)za mwaka 2015/16ambapo mfuko huo umepata hati safi ya
ukaguzi wa hesabu, Ukusanyaji wa michango ulipaji wa mafao kwa wanachama
na uwekezaji,Utawala bora na usimamizi wa uendeshajiwa mfukohuo na
Raslimali fedha.
Amesema
sikuya kwanza ya mkutano huo Marchi 9 kwa kuzingatia kuwa ni siku ya
Figo dunianimfuko umeandaa upimaji wa figo bure kwa wanachama wote ambao
utafanywa naMadaktari bingwa
.Mloe,amesema
siku ya pili yamkutano huoWaziri mkuu Kassim Majaliwa atazindua program
mpya ya mikopo kwa wanachama kwa kushirikiana na benki ya CRDB,iitwayo
Maisha popote ambao ni mkopo wakwanza kutolewa na mfuko huo.
Amesemakauli
mbiu ya mwaka huu ni kuibua fursa endelevu za ajira kwa maendeleo
endelevu kwa watanzania.Kuhusuuwekezaji kwenye viwanda,Mloe, amesema
kuwa LAPF, imeweka mitaji kwenye viwanda ambako tayari wameweka hisa zao
.
Amesema
kuwaLAPF, haiwezi kujenga viwanda na kuvisimamia uendeshaji wake bali
itaweka mitajina kusisitiza kuwa LAPF itabakia kwenye jukumu lake la
msingi la kulindamichango ya wanachama wake.
COMMENTS