Kaimu Mkuu wa Skuli ya Afya na Sayansi za Tiba wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Amina Abdulkadir akizungumza na wanaf...
Kaimu
Mkuu wa Skuli ya Afya na Sayansi za Tiba wa Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar (SUZA) Amina Abdulkadir akizungumza na wanafunzi wauguzi wa
Chuo Kikuu cha Wright Jimbo la Ohayo nchini Marekani walipotembelea
Skuli hiyo Mbweni kubadilishana uzoefu.
Mwanafunzi
Muuguzi kutoka Chuo Kikuu cha Wright nchini Marekani Melissa Vanscoy
akieleza lengo la ziara yao hapa Zanzibar wakati wanafunzi wa vyuo
hivyo viwili walipokutana katika Skuli ya Afya na Sayansi za Tiba ya
SUZA Mbweni.
Wanafunzi
wauguzi kutoka Chuo Kikuu cha Wright na SUZA wakiwa katika darasa la
kufanyia mazoezi ya vitendo wakielekezana namna ya kumuhudumia mgonjwa
alielezwa wodini.
Picha
ya pamoja ya wanafunzi wauguzi wa Skuli ya Afya na Sayansi za Tiba ya
SUZA wakiwa na baadhi ya walimu na wenzao wa Chuo Kikuu cha Wright,
Jimbo la Uhayo nchini Marekani wakiwa katika kempasi ya Mbweni.
(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar)
COMMENTS