Katibu wa Voice of Women Entrepreneurs Tanzania (VOWET) Anna Otieno akitoa elimu ya ujasiliamali kwa akinamama wajasiliamali Mko...
Katibu
wa Voice of Women Entrepreneurs Tanzania (VOWET) Anna Otieno akitoa
elimu ya ujasiliamali kwa akinamama wajasiliamali Mkoa wa Dodoma leo
,mafunzo hayo yalidhaminiwa na Vodacom Tanzania ikiwa ni sehemu ya
sherehe za maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.
Katibu
wa Voice of Women Entrepreneurs Tanzania (VOWET) Anna Otieno akitoa
elimu ya ujasiliamali kwa akinamama wajasiliamali Mkoa wa Dodoma leo
,mafunzo hayo yalidhaminiwa na Vodacom Tanzania ikiwa ni sehemu ya
sherehe za maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani.
Baadhi
ya Akinamama wajasiliamali wakishiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo wa
ujasiliamali yaliyotolewa na wataalam mbalimbali na kudhaminiwa na
Vodacom Tanzania leo mjini Dodoma ikiwa ni maadhimisho ya siku ya
wanawake Duniani.
Baadhi
ya Akinamama wajasiliamali wakishiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo wa
ujasiliamali yaliyotolewa na wataalam mbalimbali na kudhaminiwa na
Vodacom Tanzania leo mjini Dodoma ikiwa ni maadhimisho ya siku ya
wanawake Duniani.
Mkuu
wa maduka ya rejareja wa Vodacom Tanzania,Brigita Stephen (kushoto)
akimkabidhi zawadi ya simu mjasiliamali Neema Nzuki aliyejiajiri na
kuwaingiza wateja wapya wa Vodacom Tanzania wa manispaa ya
Dodoma,Wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa ujasiliamali mkoani hum oleo yaliyoandaliwa na Vodacom Tanzania.
Akina
mama wajasiliamali wa Mkoa wa Dodoma wakiwa kwenye picha ya pamoja baad
ya kushiriki mafunzo ya siku moja yaliyotolewa na Vodacom Tanzania leo
katika maadhimisho ya siku ya wananawake Duniani.
Mkuu
wa maduka ya rejareja ya Vodacom Tanzania, Brigita Stephen akikata keki
na Katibu wa Voice of Women Entrepreneurs Tanzania (VOWET) Anna Otieno
ikiwa ni maadhimisho ya siku ya Wananawake Duniani leo mjini Dodoma.
Mkuu
wa maduka ya rejareja ya mauzo ya simu Vodacom Tanzania,Brigita
Stephen akizungumza na akina mama wajasiliamali wa mkoa wa Dodoma
leo,Wakati wa mafunzo ya ujasiliamali kwa akina mama hao katika
kuadhimisha siku ya wanawake Duniani.
Mwezeshaji
wa masomo ya ujasiliamali Ben Mwambela akitoa mada ya ujasiliamali kwa
akinamama wa mkoa wa Dodoma leo katika maadhimisho ya siku ya wanawake
Duniani,mafunzo hayo yalifadhiliwa na Vodacom Tanzania.
COMMENTS