Msanii na mtayarishaji wa Filamu ya Gate Keeper, Vicent Kigosi 'Ray' akizungumza na Waandishi wa habari kabla ya kuanza ...
Msanii
na mtayarishaji wa Filamu ya Gate Keeper, Vicent Kigosi 'Ray'
akizungumza na Waandishi wa habari kabla ya kuanza kwa uzinduzi wa
filamu yake ya GateKeeper.
Mkurugenzi Mwenza wa Kampuni ya Rj Company Blandina Chagula 'Johari ' akiwa na baadhi ya Mashabiki wa Bongo Movie.
Msanii
wa filamu nchini Vicent Kigosi 'Ray' akiwa na Mwandishi na mtunzi wa
filamu ya Gate Keeper Ally Yakuti kabla ya kuanza kuonyeshw akwa fimau
hiyo katika ukumbi wa Quality Centre.
Wasanii
walioshiriki katika filamu ya Gatekeeper wakiwa katika picha ya pamoja
ya zuria jekundu kabla ya kuingia katika ukumbi wa cinema.
Katibu
Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Joyce Fissoo akizungumza na wadau
wa filamu waliofika kushuhudia uzinduzi wa filamu ya Gatekeeper.
Msanii
wa filamu na mtayarishaji wa filamu ya Gatekeeper Vicent Kigosi
akizungumza na mashabaiki na wadau wa filamu waliofika katika uzinduzi
wa filamu hiyo katika ukumbi wa Quality Centre.
Baadhi ya Wasanii waliofika katika uzinduzi wa Filamu hiyo wakiwa na Gambo Zigamba ndani ya ukumbi wa Quality Centre.
Wadau wa filamu wakifatilia uzinduzi wa filamu hiyo kwa umakini.
COMMENTS