Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli na Balozi wa China nchini Dkt wakifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi ya Uwan...
Rais
na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli na Balozi wa China nchini
Dkt wakifunua kitambaa kuashiria uzinduzi rasmi ya Uwanja wa kisasa wa
ndegevita wa Ngerengere mkoani Morogoro Machi 6, 2017
Rais
na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli akihutubia wakati wa
uzinduzi rasmi ya Uwanja wa kisasa wa ndegevita wa Ngerengere mkoani
Morogoro Machi 6, 2017.
Rais
na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli akijiandaa kufyatua risasi
ya bastola kuashiria matumizi rasmi ya Uwanja wa kisasa wa ndegevita wa
Ngerengere mkoani Morogoro Machi 6, 2017.
Rais
na Amiri Jeshi Mkuu Dkt John Pombe Magufuli na Balozi wa China nchini
Dkt katika picha ya pamoja na viiongozi mbalimbali baada ya uzinduzi
rasmi ya Uwanja wa kisasa wa ndegevita wa Ngerengere mkoani Morogoro Machi 6, 2017.
(PICHA NA IKULU)
COMMENTS