Mzee Alinanoswe Aspain Mwambapa mzaliwa wa Tukuyu Mbeya anawatafuta ndugu zake wakiwemo kaka zake na dada zake baada ya kupoteza...
Mzee Alinanoswe Aspain Mwambapa mzaliwa wa Tukuyu Mbeya anawatafuta ndugu zake wakiwemo kaka zake na dada zake baada ya kupotezana nao kwa Zaidi ya miaka Kumi iliyopita.
Kwa
mujibu wa Mzee huyo ameuomba mtandao huu kumsaidia kuwatafuta dada zake
ambao ni Eni Aspain Mwambapa anayeishi Dar es salaam,pamoja na Buni
Aspain Mwambapa Mkazi wa songea kwa sasa.
Wengine
ambao mzee Alinanoswe anawatafuta ni kaka zake Ismail Aspain mwambapa
Pamoja na Obole Aspain Mwambapa ambao wote walipotezana Takribani miaka
Kumi iliyopita.
Mzee
huyo ameueleza mtandao huo kuwa alitengana na ndugu zake hao mwaka 2001
Chunya mbeya na kutimkia Pwani ambapo mpaka sasa anaishi huko,ambapo
sasa anatamani kurejea nyumbani kwake lakini hajui jinsi gani ya
kuwapata ndugu zake na sasa anaishi kwa wasamaria wema walioamua
kumhifadhi.
Mzee huyo alizaliwa mwaka 1961 Tukuyu mbeya.
Kwa mweye kumjua mzee huyu atoe Taarifa kwa namba zifuatazo ili akutanishe na ndugu yake ,
Namba
0713 562954 Augustino Michael
0789682901 Lister Godfrey
0789421644 Frank Michael
0718 528632 Frank Michael
0769 56 2954 Augustino Michael.
COMMENTS