KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA ENEO LENYE MGOGORO LA PORI TENGEFU LA LOLIONDO.

Msafara wa Magari ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Malisili na Utaalii,yakpita katika maeneo mbalimbali ya Pori Tengefu la Loliond...

Msafara wa Magari ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Malisili na Utaalii,yakpita katika maeneo mbalimbali ya Pori Tengefu la Loliondo kwa ajili ya kujionea hai halisi ya mgogoro ulioo katika eneo hilo.
Mwenyekii wa Kamati ya Kudumu ya Ardhi, Maliasii na Utalii, Atashasta Ndetiye (katikati) akiongozana na wajumbe wengine wa kamati hiyo kutizama vyanzo vya maji vilivyoko katika Pori Tengefu la Loliondo.
Waziri wa Malisili na Utalii ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo, Prof Jumanne Maghembe akiongozana na wataalamu katika ziara ya kamati hiyo.

Mtafiti Mkuu wa Idara ya Ikolojia (TAWIRI), Dkt Edward Khoi akitoa maelezo ya kitaalamu kwa wajumbe wa kamati ya kudumu ya Ardhi, Malisili na Utalii wakati wakitembela Pori tengefu la Loliondo.
Baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo wakifuatilia maelezo kutoka kwa wataalamu wa ekolojia na Uhifadhi.
Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, William Mwakilema akiwaeleza wajumbe wa kamati hiyo madhara yatakayojitokea endapo eneo la Pori Tengefu la Loliondo halitahifadhiwa.
Wajumbe wa Kamati ya Maliasili na Utalii,wakitizama eneo linalotajwa kutengenezwa na wafugaji kwa ajili ya kunyweshea maji mifugo yao ndani ya Pori Tengefu la Loliondo.

Eneo linalotuiwa na wafugaji kunyweshea mifugo yao.
Sehemu ya Mabirik yanayotajwa kutengenezwa na jamii ya wafugaji kwa ajili ya kunywesha mifgo yao.
Mwenyekiti w a Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii, Atashsta Ndetiye (kulia) pamoja na Waziri wa Malisili na Utalii,Prof. Jumanne Maghembe wakitizama eneo ambalo ni mapitio ya maji katika Pori Tengefu la Loliondo.
Moja ya makundi ya Ng'ombe yaliyokutwa na Kamati hiyo katika Pori Tengefu la Loliondo.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakizungumza na mmoja wa wafugaji waliokutwa wakichunga Ngombe ndani ya Pori Tengefu la Loliondo. 

Kamati ilikutana pia na changamoto ya ubovu wa Miundombinu ya barabara hali iliyolazimu magari kupita kwa tahadhari kubwa.
Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii wakitizama moja kati ya vyanzo vy maji vinavyotiririsha maji yake katika mto Gurumeti uliopo katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Mbunge wa Jimbo la Sumve ambaye pia ni mjumbe wa kamati hiyo, Richard Ndasa akizungumza jambo mara baada ya kutizama moja ya vyanzo vya maji vilivyopo katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo.
Sehemu ya Makundi ya Mifugo pamoja na Mashamba yaliyopo katika eneo la Pori Tengefu la Loliondo.

(Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Kanda ya Kaskazini)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA ENEO LENYE MGOGORO LA PORI TENGEFU LA LOLIONDO.
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA UTALII YATEMBELEA ENEO LENYE MGOGORO LA PORI TENGEFU LA LOLIONDO.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMpdZ-u4D9d8wwAboZdBN9thpHhMX74i0_qkFS_cV3DmulqRVyx7WFRBW4gcxPs7GxctVqzn4Bf5eQ1g-c8xcSJqgNbGq_ULFiUeIru3TwhYIrBAzBUrofnQ5_0dQ8IDDpTM-RIEPHiH8N/s640/IMG_2105+%25281280x853%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMpdZ-u4D9d8wwAboZdBN9thpHhMX74i0_qkFS_cV3DmulqRVyx7WFRBW4gcxPs7GxctVqzn4Bf5eQ1g-c8xcSJqgNbGq_ULFiUeIru3TwhYIrBAzBUrofnQ5_0dQ8IDDpTM-RIEPHiH8N/s72-c/IMG_2105+%25281280x853%2529.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/kamati-ya-kudumu-ya-bunge-ya.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/03/kamati-ya-kudumu-ya-bunge-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy