KUWENI MACHO NA MATAPELI WA FEDHA ZA M-PESA

Ikiwa wateja mbalimbali wa Vodacom Tanzania wakiendelea kunufaika na bonasi za M-PESA zinazotolewa na kampuni hiyo, Kumetokea na mat...





Ikiwa wateja mbalimbali wa Vodacom Tanzania wakiendelea kunufaika na bonasi za M-PESA zinazotolewa na kampuni hiyo, Kumetokea na matapeli wakiwalaghai wateja wa kampuni hiyo kana kwamba ni washindi wa bonasi hizo zinazoendelea kutolewa.Vodacom Tanzania imetoa tahadhari kwa wateja wake wote popote walipo nchini kuwa macho na matapeli ambao wanajifanya ni wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa kuwapigia simu na kuwafahamisha kuwa wamefanikiwa kupata mgao wa fedha za gawio la huduma ya M-Pesa uliotangazwa na kampuni mapema wiki hii.”KAMA WANAVYOSIKIKA KWENYE SAUTI HIYO”
Akiongea na Mtandao huu,Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Jacqueline Materu alisema“Natoa wito kwa wateja wetu kuwa makini na matapeli wanaowapigia simu na kuwafahamisha kuwa wameshinda fedha za bonasi ya M-Pesa.Vodacom Tanzania haina utaratibu wa kuwapigia simu wateja kuhusiana na mgao wa fedha hizi bali inatoa mgao kwa kadri  ya mteja alivyotumia huduma hii na rekodi zote za matumizi kampuni inazo. Wanaowapigia simu wateja ni matapeli ambao wanataka kupata namba zenu za siri na kuwatajia kiasi gani cha fedha mlizonazo ili wapate frusa ya  kuwaibia fedha na msitoe namba   za siri kwa mtu yeyote”.
Wateja watakaonufaika na mgao wa fedha za bonasi ya M-pesa awamu hii wanawekewa fedha zao kwenye akaunti zao za M-Pesa moja kwa moja na utaratibu wa kuwapigia wateja simu huwa unatumika kwenye promosheni tu kama vile promosheni inayoendelea ya”Nogesha Upendo”.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: KUWENI MACHO NA MATAPELI WA FEDHA ZA M-PESA
KUWENI MACHO NA MATAPELI WA FEDHA ZA M-PESA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_18R-22MRbMWM9MJ15ETQhKN7HlcG_MGZL_kDb5cpEUkuiBv8WTtnh-a6YL_YG1AH1fqryZuyhD_7A6VrNRgWsZb7bO1X9obqHBr4iIksb4gnAq-IdMGXl9Mgb9hY6n204s_tnnkXavA/s640/Vodacom+logo.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_18R-22MRbMWM9MJ15ETQhKN7HlcG_MGZL_kDb5cpEUkuiBv8WTtnh-a6YL_YG1AH1fqryZuyhD_7A6VrNRgWsZb7bO1X9obqHBr4iIksb4gnAq-IdMGXl9Mgb9hY6n204s_tnnkXavA/s72-c/Vodacom+logo.png
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/kuweni-macho-na-matapeli-wa-fedha-za-m.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2017/01/kuweni-macho-na-matapeli-wa-fedha-za-m.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy