Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi waliojitokeza...
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubia wananchi waliojitokeza katika sherehe za miaka 55 ya
Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akiwapungia wananchi waliohudhuria sherehe za miaka 55 ya
Uhuru wa Tanzania Bara katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam mara
baada ya kuwasili.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa amesimama wakati wimbo wa Taifa ulipokuwa ukipigwa
uwanjani hapo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akikagua gwaride katika sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa
Tanzania Bara katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Vikosi
mbalimbali vya Majeshi vikipita mbele ya mgeni Rasmi kwa mwendo wa pole
na Haraka katika sherehe za miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika
uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Kikosi
cha Maadhimisho cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania kikionesha gwaride la
kimyakimya mbele ya Amiri Jeshi mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika uwanja wa Uhuru.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akiagana na Mama Fatma Karume mara baada ya kumaliza kuhutubia
katika uwanja wa Uhuru.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akiagana na wananchi katika uwanja wa Uhuru mara baada ya
kumalizika kwa sherehe hizo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembea
pamoja na Askari Polisi ambao huongoza misafara ya viongozi VIP riders
mara baada ya kuwasili Ikulu wakati wakitokea katika uwanja wa Uhuru
jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya pili Mzee Ali Hassan
Mwinyi mara baada ya Kuwasili katika uwanja wa Uhuru.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera,BungeKazi,Ajira,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman alipowasili katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kushiriki nkatika sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika leo
Amiri Jeshi Mkuu na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiwasili
katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kuhudhuria katika sherehe
za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika leo
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akikagua gwaride maalum la Vikosi vya Ulinzi na Usalama mara alipowasili katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kuhudhuria katika sherehe za Miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika leo
Amiri Jeshi Mkuu na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akikagua
gwaride maalum la Vikosi vya Ulinzi na Usalama mara alipowasili katika
uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam kuhudhuria katika sherehe za Miaka
55 ya Uhuru wa Tanzania bara zilizofanyika leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leoDesemba 9, 2016 amewaongoza
mamilioni ya watanzania kusherehekea Uhuru wa Tanzania Bara kwenye
uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, ambapo kivutio kikubwa kilikuwa
kikosi maalum cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Makomandoo
ambapo pamoja na kuonyesha umahiri wao katika medani za kivita, lakini
kubwa ni komandoo hao kulala juu ya misumari yenya ncha huku wengine
wakimkanyaga mwenzao aliyelalia misumari, kifuani. Pichani Komandoo huyo
akionyesha maajabu hayo. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Komandoo wakionyesha jinsi ya kupambana na adui bila ya kutumia silaha.
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais John Magufuli, akikagua hwaride wakati wa maadhimisho hayo.
Rais aksialimiana na Waziri Mkuu, Mh. Kassim Majaliwa
Baadhi ya wananchi wakitazama kutokea uwanja waTaifa kilichokuwa kikiendelea kwenye uwanja wa Uhuru
Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, akizungumza jambo na Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein
COMMENTS