Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye hafla ya kumtunuku tuzo ya Kis...
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akisaini
kitabu cha wageni baada ya kuwasili kwenye hafla ya kumtunuku tuzo ya Kiswahili
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala jijini
Dar es Salaam jana
|
|
Wana taalum wa Kiswahili na wageni wakiwa katika hafla hiyo. |
|
Vingozi wa UDSM pamoja na wana taalum wa Kiswahili na wageni wakiwa katika hafla hiyo. |
|
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (TATAKI), Dk Ernesta Mosha akiongea kuwakaribisha katika hafla hiyo. |
|
Mgeni Rasmi, Mama Salma Kikwete akitoa risala fupi ya ufunguzi wa hafla hiyo. |
|
Mgeni Rasmi, Mama Salma Kikwete akimpongeza kwa mchango wake mkubwa kuchajisha matumizi ya lugha ya Kiswahili Chuoni hapo wakati wa uongozi wake hafla hiyo. |
|
Mgeni Rasmi, Mama Salma Kikwete akimkabidhi tuzo hiyo Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala jijini
Dar es Salaam Disemba 1 2016. |
|
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala akioonesha tuzo hiyo kwa wageni. |
|
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala akidadavua kilichoandikwa kwenye tuzo hiyo na kuwashukuru kwa heshima kubwa waliyompa na ushirikianiano mzuri katika uongozi wake. |
|
Wana taalum wa Kiswahili na wageni wakiwa katika hafla hiyo |
|
Wana taalum wa Kiswahili na wageni wakiwa katika hafla hiyo |
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja baadhi ya Manaibu Makamu wakuu wa UDSM, Kutoka (kushot, Profesa Florens Luoga, Profesa David Mfinanga, Profesa Cuthbert Kimambo na Katibu wa Baraza la Chuo hicho, Profesa Palamagambo Kabudi. Walioketi naye ni Makamu Mkuu wa UDSM, Profesa Rwekaza Mukandala na Mkurugenzi wa TATAKI, Dkt. Ernesta Mosha. |
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja baadhi ya wana taaluma baada kutunuku tuzo ya Kiswahili
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala jijini
Dar es Salaam jana |
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja baadhi ya wana taaluma baada kutunuku tuzo ya Kiswahili
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala jijini
Dar es Salaam jana |
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja baadhi ya wana taaluma baada kutunuku tuzo ya Kiswahili
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala pamoja na Wana taalum TATAKI. |
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akiagana na wenyeji wake baada ya kuhitimisha hafla hiyo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala. |
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akiagana na mmoja wa wanafunzi waliohudumu katika hafla hiyo. Kulia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala. |
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mmoja wa wanafunzi waliohudumu katika hafla hiyo. Kulia ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa Rwekaza Mukandala. |
|
Balozi wa Kiswahili Afrika, Mama Salma
Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na mmoja wa wanafunzi waliohudumu
katika hafla hiyo. Mkurugenzi wa Taasisi ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (TATAKI), Dk Ernesta Mosha. (Imeandaliwa na Robert Okanda Blogspots) |
COMMENTS