DK SHEIN AONGOZA HARAMBEE YA MWANAHARAKATI BIBI SITI BINTI SAAD

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi picha ya kuchora Mmiliki na Mkurugenzi w...








Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi picha ya kuchora Mmiliki na Mkurugenzi wa Kampuni ya Pennyroyal inayojenga Hoteli Kubwa ya Kimataifa huko Matemwe Kaskazini Unguja Bw.Brian Thomson (kulia) iliyonadishwa na kuinunua kwa Shilingi za Kitanzania Milioni nane(8) pia akiwa amechangia Shilingi Miliion Ishirini na tano katika Harambee ya kuchangia ujenzi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Sadi,hafla ilifanyika jana katika Ukumbi wa Hayat Hotel Mjini Unguja,wakati huohuo ameahidi kuanzisha Chuo cha Muziki Academy katika Mkoa wa Kaskazini,ambapo mradi huo utagharimu shilingi za kitanzania Miliioni mia sita, wakiwemo na Walimu pamoja na zana zote
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi picha ya kuchora Mmiliki na Mkurugenzi wa Kampuni ya Pennyroyal inayojenga Hoteli Kubwa ya Kimataifa huko Matemwe Kaskazini Unguja Bw.Brian Thomson (kulia) iliyonadishwa na kuinunua kwa Shilingi za Kitanzania Milioni nane(8) pia akiwa amechangia Shilingi Miliion Ishirini na tano katika Harambee ya kuchangia ujenzi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Sadi,hafla ilifanyika jana katika Ukumbi wa Hayat Hotel Mjini Unguja,wakati huohuo ameahidi kuanzisha Chuo cha Muziki Academy katika Mkoa wa Kaskazini,ambapo mradi huo utagharimu shilingi za kitanzania Miliioni mia sita, wakiwemo na Walimu pamoja na zana zote.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) na Mtoto wa Mwanahamis Ali 9years mkaazi wa Shaurimoyo Mjini Unguja akichora kaburi alilozikwa Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad (katika picha ya kuchora chini) baada ya kukabidhiwa picha hiyo Rais, wakati wa harambee ya Ujenzi wa Ofisi ya taasisi hiyo iliyofanyika jana katika ukumbi wa Hayyat Hotel Mjini Unguja,

Baadhi ya Mawaziri wakiwa katika hafla ya harambee ya Ujenzi wa Ofisi ya taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad inayotarajiwa kujengwa Fumba Mkoa wa Magharibi Unguja,wakiwa katika hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Hayyat Hotel Mjini Zanzibar,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati) Rais Mstaafu wa Jamhuri ya muungano Mzee Mwinyi(kushoto) pia Mlezi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad na Mwenyekiti wa taasisi hiyo Bi Nasra Mohamed Hilal (wa pili kuli) wakimuangalia Mtoto wa Mwanahamis Ali 9years mkaazi wa Shaurimoyo Mjini Unguja akichora kaburi alilozikwa Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad wakati wa harambee ya Ujenzi wa Ofisi ya taasisi hiyo inayotarajiwa kujengwa Fumba Mkoa wa Magharibi Unguja,katika hafla iliyofanyika jana katika ukumbi wa Hayyat Hotel Mjini Zanzibar
Kikundi cha Muziki cha Rahatul Zamani kikitumbuiza wakati wa Harambee ya kuchangia ujenzi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad hafla iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Hayatt Hotel Mjini Unguja,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani)

Mmiliki na Mkurugenzi wa Kampuni ya Pennyroyal inayojenga Hoteli Kubwa ya Kimataifa huko Matemwe Kaskazini Unguja Bw.Brian Thomson (wa pili kushoto) akiwa na msaidizi wa kampuni ya ujenzi ya Pennyroyal inayojenga Hoteli Kubwa ya Kimataifa huko Matemwe Kaskazini Unguja Bw.David Haycok (kushoto)pamoja na Wasaidi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(kutoka kulia) Mzee Burhani Saadat Haji na Chimbeni Kheir wakiwa katika Harambee ya kuchangia ujenzi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Hayatt Hotel Mjini Unguja,

Baadhi ya Viongozi na Wafanyabishara wa makampuni mbali mbali wakiwa katika Harambee ya kuchangia ujenzi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Hayatt Hotel Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]25/09/2016.
Baadhi ya Viongozi na Wafanyabishara wa makampuni mbali mbali wakiwa katika Harambee ya kuchangia ujenzi wa Taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad iliyofanyika jana katika Ukumbi wa Hayatt Hotel Mjini Unguja
Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wakijaza fomu maalum za kuchangia fedha kwa ajili ya ujenzi wakati wa harambee ya Ujenzi wa Ofisi ya taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad inayotarajiwa kujengwa Fumba Mkoa wa Magharibi Unguja, katika hafla iliyofanyika jana ukumbi wa Hayyat Hotel Mjini Zanzibar,[Picha na Ikulu.]25/09/2016.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi picha ya kuchora ya Marehemu Bibi Siti Binti Saad Mkurugenzi wa Kampuni ya Azam Marine Fasty Ferry Huseein Mohamed wakati wa harambee ya Ujenzi wa Ofisi ya taasisi ya Mwanaharakati Bibi Siti Binti Saad inayotarajiwa kujengwa Fumba Mkoa wa Magharibi Unguja, katika hafla iliyofanyika jana ukumbi wa Hayyat Hotel Mjini Zanzibar. (Picha na Ikulu)

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: DK SHEIN AONGOZA HARAMBEE YA MWANAHARAKATI BIBI SITI BINTI SAAD
DK SHEIN AONGOZA HARAMBEE YA MWANAHARAKATI BIBI SITI BINTI SAAD
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiH6V2KL4hQNGu2N50OLNFRwoy-Tkj_DF4_EHlkKbaBfyq9SEJMw0NP5KqpIO3mMoUlne3L6RGfpxXRKbAbYb7sjCtjdbHqfuiKaiq_GdMRwjrQ8r2GhNil4w_jBdZrxgbm88u2nZ4176pA/s640/tit1-768x511.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiH6V2KL4hQNGu2N50OLNFRwoy-Tkj_DF4_EHlkKbaBfyq9SEJMw0NP5KqpIO3mMoUlne3L6RGfpxXRKbAbYb7sjCtjdbHqfuiKaiq_GdMRwjrQ8r2GhNil4w_jBdZrxgbm88u2nZ4176pA/s72-c/tit1-768x511.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2016/09/dk-shein-aongoza-harambee-ya.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/09/dk-shein-aongoza-harambee-ya.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy