WAZIRI LUKUVI ATEMBELEA ENEO LA KILICHOKUWA KIWANDA CHA NGUO CHA KILITEX PUGU JIJINI DAR ES SALAAM

Mmoja ya Fundi gereji katika Mtaa wa Guluka Kwalala kata ya Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam Bw. Mohamed Ali akielezea sa...






Mmoja ya Fundi gereji katika Mtaa wa Guluka Kwalala kata ya Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam Bw. Mohamed Ali akielezea sababu za wao kuvamia eneo la Kilichokuwa kiwanda cha nguo cha KiliTex kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi (hayupo pichani). 
 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akimsikiliza kwa makini Afisa Ardhi toka Manispaa ya Ilala Bw. Furaha Mwakapalila akielezea historia ya eneo la Kilichokuwa kiwanda cha nguo cha KiliTex ambalo kwa sasa limevamiwa na mafundi magari wa kata ya Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.
Afisa Tarafa wa Ukonga Bw. Jeremiah Makorere akifafanua jambo kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi wakati wa ziara ya waziri huyo kubaini migogoro mbalimbali ya ardhi katika eneo la Pugu Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Guluka Kwalala kata ya Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam ambao wamevamia eneo la Kilichokuwa kiwanda cha nguo cha KiliTex.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Guluka Kwalala kata ya Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam ambao wamevamia eneo la Kilichokuwa kiwanda cha nguo cha KiliTex.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Msimbazi kata ya Pugu Station jijini Dar es Salaam ambao wamevamia eneo la Kilichokuwa kiwanda cha matofali ya kuchoma cha Kisarawe Brick Factory (KIBRICO) wakati wa ziara ya Waziri huyo kubaini migogoro ya ardhi katika eneo la Pugu.
Mwenyekiti ya Kamati ya malalamiko ya wakazi wa Mtaa wa Msimbazi kata ya Pugu Station jijini Dar es Salaam ambao wamevamia eneo la Kilichokuwa kiwanda cha matofali ya kuchoma cha Kisarawe Brick Factory (KIBRICO) Bw. Deus King΄ung΄alo akisoma risala kwa niaba ya wakazi hao wakati wa ziara ya Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi wakati wa ziara ya Waziri huyo kubaini migogoro ya ardhi katika eneo la Pugu.

COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: WAZIRI LUKUVI ATEMBELEA ENEO LA KILICHOKUWA KIWANDA CHA NGUO CHA KILITEX PUGU JIJINI DAR ES SALAAM
WAZIRI LUKUVI ATEMBELEA ENEO LA KILICHOKUWA KIWANDA CHA NGUO CHA KILITEX PUGU JIJINI DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgizdFY2liOFJAZAZkzytYw2qpm-2KlqSOeJLD0_gjwUSzE6TEJ5F8tLXtclHeRgY12sBfo2SpoTXtbFwGrXHJgJo4DuIHwMDUtAu8DdK7yAeR1M_Gyt-clufhophn2YXQn0VE-BcJQ9Djx/s640/Pix+01.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgizdFY2liOFJAZAZkzytYw2qpm-2KlqSOeJLD0_gjwUSzE6TEJ5F8tLXtclHeRgY12sBfo2SpoTXtbFwGrXHJgJo4DuIHwMDUtAu8DdK7yAeR1M_Gyt-clufhophn2YXQn0VE-BcJQ9Djx/s72-c/Pix+01.jpg
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2016/08/waziri-lukuvi-atembelea-eneo-la.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/08/waziri-lukuvi-atembelea-eneo-la.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy