Santana na pekosi ilikuwa ni moja ya mavazi ya mnogeshaji wa hafla hiyo. Santana na pekosi ilikuwa ni moja ya mavazi ya m...
Santana na pekosi ilikuwa ni moja ya mavazi ya mnogeshaji wa hafla hiyo. |
Santana na pekosi ilikuwa ni moja ya mavazi ya mnogeshaji wa hafla hiyo. |
Francis Libonge na mke wake Christina Mbiro wakionesha vyeti vyao baada ya kufunga ndoa katika kanisa katoliki la Mt. Maria Mkoani Morogoro hivi karibuni. |
Bwana Harusi Francis na Bi Christina wakiwa na kaka zake Bi Harusi walivyovunga pingu za maisha Mkoani Morogoro hivi karibuni. |
Bi Christina Mbiro akikiwa na wapamabe wao wao harusi |
Francis Libonge na mke wake Christina Mbiro walivyovunga pingu za maisha katika kanisa la Mt. Maria la RC Mkoani Morogoro hivi karibuni. (Picha na Robert Okanda) |
Francis Libonge na mke wake Christina Mbiro wakiwa na baadh ya wazazi upande kikeni Mkoani Morogoro hivi karibuni. |
Francis Libonge na mke wake Christina Mbiro wakiwa na wazazi na ndugu wengine upande kiumeni Mkoani Morogoro hivi karibuni. |
Nyimbo za Shangwe, nderemo na vifidjo vilifuata wakati wa kutoka kwenye ibad ya ndoa hiyo. |
Baadhi ya ndugu wakifuatilia ibada ya misa. |
Baadhi ya ndugu wakifuatilia ibada ya misa. |
Baadhi ya ndugu wakifuatilia ibada ya misa. |
Bi Christina Mbiro akikabidhi zawadi ya keki kwa wakwe zake. |
Francis Libonge na mke wake Christina Mbiro wakiwa na katika picha ya pamoja na ndugu upande wa kiumeni. |
Francis Libonge na mke wake Christina Mbiro wakiwa na katika picha ya pamoja na ndugu upande wa Kikeni. |
Wakikata keki ya harusi. |
Francis Libonge na mke wake Christina Mbiro walivyovunga pingu za maisha katika kanisa la Mt. Maria la RC Mkoani Morogoro hivi karibuni. (Picha na Robert Okanda) |
COMMENTS