ASASI YA FEDHA YAWAKUMBUSHA WANACHUO UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA

    Mkurungezi mtendaji wa Asasi ya Fedha, Jafari Selemani akisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa warsha iliyofanyika hivi karibuni, ...






 
 Mkurungezi mtendaji wa Asasi ya Fedha, Jafari Selemani akisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa warsha iliyofanyika hivi karibuni, katika Chuo cha Kilimanjaro Insitute College (KIC) na kuwakutanisha wanavyuo zaidi ya 200 hapa jijini Dar es Salaam. Alitumia fursa hiyo kuwaasa vijana kuwa na tabia ya kuweka akiba na kujiandaa na maisha ya uzee. Moto wa asasi hiyo ni "UHURU WA KIFEDHA NI WAJIBU WAKO ". Kulia ni mtaalamu wa biashara na mhamasishaji wa vijana, Fasili  Boniface.



Mhamasishaji wa vijana Mussa Mashauri akitoa mada kuhusu Vijana na Utendaji kazi katika warsha iliyoandaliwa na Asasi ya Fedha iliyofanyika katika chuo cha Kilimanjaro Insitute College (KIC) na kuwakutanisha wanachuo zaidi ya 200 toka chuo cha UDSM, Ustawi wa jamii, Teku , St. Joseph na KIC. Kushoto ni Murungezi Mtendaji wa KONCEPT na Mhamasishaji wa Vijana, Krantz Mwantepele.

Mmoja wa wanachuo waliohudhuria warsha hiyo akiuliza swali kwa mwongoza Mada Musa Mashauri.



Mtaalamu wa Biashara na Mhamasishaji wa vijana Fasili Boniface akiongoza mada kuhusu "Siri za jinsi ya kupata Ajira " katika warsha iliyoandaliwa na Asasi ya Fedha katika chuo cha Kilimanjaro Insitute College hivi karibuni. Wanachuo zaidi ya mia 200 walikuatna na kujaidili jijini Dar es Salaam.

Mkurungezi Mtendaji wa KONCEPT na mhamasishaji wa vijana Krantz Mwantepele akisitiza jambo wakati akiongoza mada kuhusu "Siri za uhuru wa kifedha na fursa ambazo zipo nchini vijana wanaweza kujiajiri na kutengeneza thamani kwa  jamii inayowazunguka, katika warsha iliyofanyika katika chuo cha KIC hivi karibuni.

Baadhi ya washiriki wa warsha hiyo wakisiliza kwa makini mada toka kwa Mkurungezi  Mtendaji wa Koncept Krantz Mwantepele hivi karibuni.


Mkurungezi Mtendaji wa Koncept akiongoza washiriki wa warsha hiyo kula kiapo kuwa wanaamini nguvu ya mafanikio ipo ndani yao na ni wajibu wao kutafuta fursa na kutimiza ndoto zao

Mkurungezi wa Asasi ya Fedha, Jafari Selemani akitoa neno la kufunga warsha hiyo iliyofanyika katika chuo cha KIC na kukutanisha zaidi 200 kutoka vyuo vya UDSM , TEKU, USTAWI WA JAMII , ST JOSEPH NA KILIMANJARO INSTITUTE COLLEGE (KIC) wiki iliyopita katika makazi ya KIC.


COMMENTS

Name

analogia,2,Biashara,618,dijital,235,Jamii,3473,Magazeti,385,Michezo,334,Mikoani,1262,Moto,334,Sanaa,247,Siasa,369,Slide,10,tv,4,Uchumi,276,
ltr
item
Okandablogs: ASASI YA FEDHA YAWAKUMBUSHA WANACHUO UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA
ASASI YA FEDHA YAWAKUMBUSHA WANACHUO UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjgYzCZ8CRIfuRAQhsg5rsfo-_JKirmsx8_6gzXpQfZS_gKCGiVPWIFkS4oXZmhQykOmJAsGmoONdtxFLY1h59GPgyze7Fmfdh-4-DKErFwVAMJD-DWroHeN-Rm0QoJq1sRIFN1_YJgLOs/s640/IMG_2060.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjgYzCZ8CRIfuRAQhsg5rsfo-_JKirmsx8_6gzXpQfZS_gKCGiVPWIFkS4oXZmhQykOmJAsGmoONdtxFLY1h59GPgyze7Fmfdh-4-DKErFwVAMJD-DWroHeN-Rm0QoJq1sRIFN1_YJgLOs/s72-c/IMG_2060.JPG
Okandablogs
http://robertokanda.blogspot.com/2016/08/asasi-ya-fedha-yawakumbusha-wanachuo.html
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/
http://robertokanda.blogspot.com/2016/08/asasi-ya-fedha-yawakumbusha-wanachuo.html
true
7708052459372695991
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy