Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni ambae pia ni Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(kulia)...
Mbunge
wa Jimbo la Kikwajuni ambae pia ni Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(kulia), akimsikiliza mmoja wa wananchi wa Jimbo
hilo mara baada ya kutoa muda wa kusikiliza kero mbalimbali za wananchi wakati wa mkutano uliofanyika Ofisi ya Jimbo
hilo, Zanzibar. (PICHA NA MPIGA PICHA
WETU)
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni ambae pia ni Naibu
Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni,
akizungumza na wananchi wa Jimbo hilo
wakati wa mkutano uliofanyika katika Ofisi ya Jimbo ambapo alitoa taarifa juu
ya watu wazima kuanzia umri wa miaka 70 kupata huduma ya matibabu bure
Mwananchi wa Jimbo la Kikwajuni akisoma
kipeperushi kilichotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ambacho kina majina
ya Hospitali ambazo wafaidika wa huduma ya matibabu bure wanaweza kwenda kupata
huduma hiyo wakati wa mkutano uliofanyika Ofisi ya Jimbo hilo Kikwajuni
Zanzibar
Mwakilishi wa Jimbo la Kikwajuni, Nassor Salim
Jazeera (kulia), akimsikiliza mwananchi wa Jimbo hilo mara baada ya kutoa muda
wa kusikiliza kero mbalimbali za wananchi
wakati wa mkutano uliofanyika Ofisi ya Jimbo hilo, Zanzibar
Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF),
Tawi la Zanzibar, Ismail Kangeta, akitoa ufafanuzi juu ya huduma ya matibabu
itakayoanza kutolewa bure kwa wananchi wa Jimbo la Kikwajuni, wakati wa mkutano
uliofanyika Ofisi ya Jimbo.Wapili ni Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni ambae pia ni
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni
Wananchi wa Jimbo la Kikwajuni, Zanzibar wakimsikiliza Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni ambae
pia ni Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni
(hayupo pichani) wakati akizungumza katika
mkutano uliofanyika katika Ofisi ya Jimbo ambapo alitoa taarifa juu ya
watu wazima kuanzia umri wa miaka 70 kupata huduma ya matibabu bure
COMMENTS