Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto), aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga wakifur...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto), aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga wakifurahi jambo mara baada ya Waziri Mwigulu kupokea taarifa ya makabidhiano katika tukio lililofanyika ofisini kwa Waziri huyo, jijini Dar es Salaam leo. |
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto) akipokea
taarifa ya makabidhiano kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo,
Charles Kitwanga kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
jijini Dar es Salaam leo.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akizungumza na aliyekuwa
Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga (kushoto) pamoja na Watendaji
Wakuu wa Wizara hiyo, kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
jijini Dar es salaam leo, mara baada ya Wizara Mwigulu kupokea taarifa
ya makabidhiano.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto meza kuu)
akimsikiliza aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga alipokuwa
anazungumza na Waziri huyo pamoja na Watendaji Wakuu wa Wizara hiyo,
kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, jijini Dar es salaam
leo, mara baada ya Wizara Mwigulu kupokea taarifa ya makabidhiano
ofisini humo.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akimsikiliza
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wa pili
kulia) alipokuwa anazungumza kabla ya aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo,
Charles Kitwanga (wa tatu kulia) kukabidhi ofisi kwa Waziri Mwigulu.
Kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba Yahya.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akimsikiliza
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira (kulia) mara
baada ya aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga
kukabidhi ofisi kwa Waziri Mwigulu.
Waziri
wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (wa pili kushoto)
akipokea taarifa ya makabidhiano kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Wizara
hiyo, Charles Kitwanga kwenye ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
jijini Dar es salaam leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja
Jenerali Projest Rwegasira.
(Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi).
COMMENTS