Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, WCF, wakishiriki matembezi ya kilele cha siku ya Wafanyakazi Dunia...
Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, WCF, wakishiriki matembezi ya kilele cha siku ya Wafanyakazi Duniani (May day), hapa matembezi yakiwa barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam, Mei 1, 2016.
NA
K-VIS MEDIA/Khalfan Said
K-VIS MEDIA/Khalfan Said
MFUKO wa Fidia Kwa Wafanyakazi, WCF, kwa mara ya kwanza umeshiriki kwenye matembezi ya kusherehekea siku ya Wafanyakazi, maarufu kama MAY DAY jijini Dar es Salaam
leo Mei 1, 2016.
leo Mei 1, 2016.
Matembezi hayo yaliyoshirikisha wafanyakazi kutoka sekta ya Umma na Binafsi, ambazo ndio wadau wakubwa wa Mfuko huo, yalianzia kwenye ofisi za Shirikisho la Vyamavya Wafanyakazi,
TUCTA, Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na kupita barabara ya Nkurumah, Nyerere na kisha kupinda barabara ya Chang’ombe hadi uwanja wa Uhuru ambako yalipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda.
TUCTA, Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na kupita barabara ya Nkurumah, Nyerere na kisha kupinda barabara ya Chang’ombe hadi uwanja wa Uhuru ambako yalipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda.
WCF ni Taasisi ya Serikali chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu na umeundwa kwa mujibu wa kifungu cha 5 cha sheria ya Bunge ya Fidia kwa wafanyakazi namba 20 ya mwaka 2008 ukiwa na wajibu wa kutoa Mafao ya Fidia kwa mfanyakazi apatwapo na madhara
mahala pa kazi.
mahala pa kazi.
Tangu kuanzishwa kwa Mfuko huo, juhudi za kutangaza hudumazake kwa wadau zimekuwa zikiendelea mfululizokwa kutoa elimu kupitia semina, maonyeshona makongamano
lakini pia kupitia vyombo vyahabari na kwa siku ya Mei Day imekuwa ni fursa
kubwa ya WCF kuungana na wadau wake wakubwa.
lakini pia kupitia vyombo vyahabari na kwa siku ya Mei Day imekuwa ni fursa
kubwa ya WCF kuungana na wadau wake wakubwa.
Wafanyakazi
wa WCF wakipita mbele ya jukwaa kuu la uwanja wa Uhuruwakati wa matembezi ya
kilele chasiku ya wafanyakazi Duniani
wa WCF wakipita mbele ya jukwaa kuu la uwanja wa Uhuruwakati wa matembezi ya
kilele chasiku ya wafanyakazi Duniani
Matembezi yakiwa yameingia Uwanja wa Uhuru
Matembezi yakipita barabara ya Chang'ombe
Matembezi yanaendelea, hapa ni barabara ya Uwanja wa Taifa mkabala na ofisi za TAKUKURU wilaya ya Temeke
Matembezi yakiendelea barabara ya Chang'ombe
Matembezi yakiwa barabara ya Uwanaja wa Taifa
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa kwenye matembezi hayo, hapa nibarabara ya Chang'ombe
Baadhi ya wafanyakazi wa WCF, wakimsikiliza mwenzao aliyevaat-shirtyenye ujumbe maalum wa Mfuko huo “WCF inatoa Fidia Stahiki kwa Wafanyakazi wote wa Sekta ya Umma na Binafsi”.
Mkuu wa Mkoa wa Dar esSalaam, Mh. Paul Makonda, (kulia), akiteta jambo na kiongozi wa Shirikisho la Wafanyakazi mkoa wa Dar es Salaam, wakati wa kilele cha May Day uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa WCF wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukamilisha matembezi hayo kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa WCF wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukamilisha matembezi hayo kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Nyuso za furaha baada ya matembezi
Baadhi ya Wafanyakazi wa Mfuko wa Pensheni PPF, wakiwa katika maandamano wakipita mbele ya mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (hayupo pichani) wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, leo. (Picha na Mafoto Blog)
Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na baadhi ya waheshimiwa wengine wakisimama Jukwaa kuu wakati wakipokea rasmi maandamano ya Wafanyakazi wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) zilizofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, leo Mei 1, 2016.
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania.
Raawu......
Sehemu ya wafanyakazi waliohudhuria sherehe hizo......
Shirika la Utangazaji la Taifa TBC.....
Maliasili.......
Uhuru Fm...........
Wakala wa Uchimbaji Visima na Ujenzi wa Mabwawa..........
Mfuko wa Pensheni wa PPF.......
DDCA......
PPF.....
Baadhi ya wafanyakazi wa PPF wakisebeneka katika gari lao wakiwa njiani kuelekea Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya kushiriki sherehe hizo leo asubuhi.
COMMENTS