Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali, Davis Mwamunyange akimkaribisha Rais Dkt. Jakaya Kikwete katika hafla ya kuweka jiwe la Msin...
|
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali, Davis Mwamunyange
akimkaribisha Rais Dkt. Jakaya Kikwete katika hafla ya kuweka jiwe la
Msingi la ujenzi wa National Defence Headquarters huko Lugalo jijini Dar es
Salaam leo. |
|
Rais Dkt. Jakaya Kikwete
akisalimiana na Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi muda mfupi baada ya
kuwasili eneo la Lugalo kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa National Defence
Headquarters |
|
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akiteta jambo na mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange wakati wa
Uwekaji Jiwe la Msingi la Ujenzi wa National Defence Headquarters Lugalo jijini
Dar es Salaam leo. |
|
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. Jakaya Kikwete akihutubia Makamanda wa Jeshi la Ulinzi wakati wa uwekaji Jiwe
la Msingi la Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi. |
|
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
Jenerali Davis Mwamunyange akimuonyesha Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mchoro
wa majengo ya Makao Makuu ya Ulinzi yatakayojengwa eneo la Lugalo jijini Dar es
Salaam leo. Kushoto ni Mke wa Rais Mama Salma Kikwete |
|
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. Jakaya
Mrisho Kikwete akifungua kitambaa wakati wa uwekaji jiwe la msingi la Ujenzi wa
National Defence Headquarters huko Lugalo jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni
Mkuu wa majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange, Watatu (kushoto) ni
Waziri wa Ulinzi Dkt. Huessein Ali Mwinyi na Bwana Hu mwakiklkishi wa
kampuni ya ujenzi kutoka China (kulia). (Picha na Freddy Maro)
|
COMMENTS