Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu wa Australia Mhe. Tonny Abbot alipowasili Julai 28 2015 katika makao Makuu ya k...
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Waziri Mkuu wa
Australia Mhe. Tonny Abbot alipowasili Julai 28 2015 katika makao Makuu ya kiongozi huyo jijini Sydney
|
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika pozi na Waziri Mkuu wa
Australia Mhe. Tonny Abbot alipowasili Julai 28 2015 katika makao Makuu ya kiongozi huyo jijini Sydney
|
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo
rasmi na Waziri Mkuu wa Australia Mhe. Tonny Abbot Julai 28 2015 katika makao Makuu ya kiongozi huyo jijini Sydney |
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la
lililoandaliwa kwa heshima yake huku akipigiwa mizinga 21 alipowasili Julai 28 2015 katika makao Makuu ya kiongozi huyo jijini Sydney |
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka
sahihi katika kitabu cha wageni alipowasili kwenye jumba la serikali
jijini Sydney Julai 28 2015 na kukutana na kufanya mazungumzo na Gavana Mkuu wa Australia Mh. Peter Cosgrove aliyesimama nyuma
yake pamoja na Mama Salma Kikwete na Mke wa Gavana huyo Mama Cosgrove |
|
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza wakati wa chakula cha mchana
kwenye jumba la serikali jijini Sydney Julai 28 2015 baada ya
kukutana na kufanya mazungumzo na Gavana Mkuu wa Australia Mh.
Peter Cosgrove. (PICHA NA IKULU)
|
COMMENTS