SIMUTV: Mabishano makali yaibuliwa na Mh. Tundulisu dhidi ya mwanasheria wa seriakali juu ya baadhi ya mantiki ya vifungu vya sh...
SIMUTV: Mabishano makali yaibuliwa na Mh. Tundulisu dhidi ya mwanasheria wa seriakali juu ya baadhi ya mantiki ya vifungu vya sheria katika mswada wa kumlinda mtoa taarifa . http://youtu.be/eRgujmVI1Bo
SIMUTV: Mh. Tundulisu abishana na mawaziri wa sheria huku akionyesha manbo ambayo anadhani si sahihi kuweka katika mswada wa sheria ya kumlida mtoa taarifa. http://youtu.be/0FsUv_I_UZI
SIMUTV: Mh. John Mnyika atanabaisha udhaifu wa baadhi ya vifungu ambao anadhani hauko sawa kisheria huku akionyesha mianya inayotumika kuzima baadhi ya manbo http://youtu.be/EJgdcyaYXYQ
SIMUTV: Mh. Tundulisu agomea baadhi ya vipengele na vifungu vya mswada wa kulinda mtoa taarifa huku akibanisha mapungufu yake. http://youtu.be/PJFSklAj1ag
SIMUTV: Mh. Tundulisu apimana ubavu na Waziri Simbachawene juu ya ubobezi na umahiri wa kuchambua vifungu vya sheria katika mswada. http://youtu.be/0n6kEzmbob4
COMMENTS