SIMUTV: Watu watano wamekufa na wengine kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na treni mkoani Tabora. http...
SIMUTV: Watu watano wamekufa na wengine kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na treni mkoani Tabora. http://youtu.be/kTND5_L7Mic
SIMUTV: Klabu ya Gormahia ya Kenya yapewa onyo kali na Kamati ya Maadili ya CECAFA kufuatia vitendo vyake vya utovu wa nidhamu. http://youtu.be/fXUxABrOGHk
SIMUTV: Kocha wa klabu ya Manchester United Van Gal aapa kutokuongeza mkataba na klabu hiyo pale mkataba wake utakapo kwisha. http://youtu.be/GTUXZwI-FuQ
SIMUTV: Ikulu yakanusha habari zilizo chapishwa kutoka gazeti moja hapa nchini kuwa rais Kikwete anashikilia nafasi ya tano kwa kulipwa vizuri Afrika. http://youtu.be/5qWa0_ZG2-Q
SIMUTV: Jeshi la polisi mkoani Katavi lafanikiwa kuzima jaribio la wananchi waliotaka kuvamia na kuchoma moto kituo cha polisi Ikola. http://youtu.be/6tOmBiYVib8
SIMUTV: Viongozi wa kijiji cha Rukuba wilayani Musoma walalamikia ongezeko la matokeo ya kuvamia na kupora wavuvi wa samaki na engine ziwa Victoria. http://youtu.be/S0ql1z9YvRY
SIMUTV: Rais Kikwete aanza ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini Australia huku akiwataka watanzania wanaoishi nchini humo kukumbuka kuwekeza nyumbani. http://youtu.be/30tW_PVX8pk
SIMUTV: Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa awaomba wakazi wa mkoa wa Kigoma kuwafichua wahalifu wakiwemo wahamiaji haramu. http://youtu.be/TBUk1Q_P6_s
SIMUTV: Viongozi wa dini ya kiislamu wakumbushwa wajibu wao wa kutenda mema ili waumini wanao waongoza waige mfano wao. http://youtu.be/ICpwdt8dFxo
SIMUTV: Majaji wa Mahakama kuu na za rufaa wakutana jijini Arusha kupata mafunzo maalum kuhusiana na jinsi ya kushughulikia mashauri ya uchaguzi yatakayojitokeza. http://youtu.be/5FYhgWaCIPU
SIMUTV: Zaidi ya wanawake 300 kutoka kaya 250 katikia vijiji vitano vya wilaya ya Bunda mkoani Mara wamenufaika katika mpango wa kupambana na umaskini. http://youtu.be/pC6JsoesWSQ
SIMUTV: Sanaa ya ucheshi yapata shindano maalum la kusaka watanzania wenye kipaji hicho likihusisha mkoa wa Dar Es Salaam pekee. http://youtu.be/WXgTnxp6fl0
SIMUTV: Vijana katika mkoa wa Geita watakiwa kushiriki katika michezo ya aina mbalimbali ili kujenga miili yao na kuepukana na magonjwa yasiyo ya lazima. http://youtu.be/9PCozMLQQt4
SIMUTV: TFDA yaikabidhi manispaa ya Ilala madebe maalum ya kuhifadhia taka ikiwa ni moja ya mikakati ya mamlaka hiyo kulinda afya za jamii na mazingira. http://youtu.be/ZrbS6j58mNE
SIMUTV: Wananchi watakiwa kuchagua viongozi waadilifu watakao jali maslahi ya wananchi na kuleta maendeleo ya kweli. http://youtu.be/vdwIOR7jo3Y
SIMUTV: CHADEMA kanda ya kaskazini yabainisha kumaliza mchakato wa kuwapata wagombea wake huku ikibainisha imepata wagombea makini.. https://youtu.be/ArYeMfPSHqg
SIMUTV: Wanafunzi wa 2 wa shule ya msingi Buligi huko Geita wapoteza maisha wakiwa ndani ya nyumba yao kufuatia ajali ya moto. http://youtu.be/13_njWsgMM0
COMMENTS